kataza Member Sep 5, 2014 20 50 Sep 20, 2023 #1 Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani?
Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani?
msakaa jr JF-Expert Member May 18, 2017 6,522 6,732 Sep 20, 2023 #4 kataza said: Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani? Click to expand... Unakuwa mchumi kama kawaida
kataza said: Hello ladies and gentlemen, Please naomba kuuliza mtu akisoma kozi hiyo tajwa hapo juu atafanya kazi wapi na atatambulika kama nani? Click to expand... Unakuwa mchumi kama kawaida
msakaa jr JF-Expert Member May 18, 2017 6,522 6,732 Sep 20, 2023 #5 High Vampire said: Hii kozi Inatolewa chuo gani Click to expand... Pale udom
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Jul 27, 2017 7,935 13,442 Sep 20, 2023 #6 Swali muhimu kabisa la kumsaidia mhusika ni; Huyo mwanafunzi mtarajiwa yeye binafsi anataka kuwa nani/kufanya nini maishani? Title ya wanaosoma hiyo fani haitakupa wewe pesa baada ya kuihitimu. Ni ushauri tu
Swali muhimu kabisa la kumsaidia mhusika ni; Huyo mwanafunzi mtarajiwa yeye binafsi anataka kuwa nani/kufanya nini maishani? Title ya wanaosoma hiyo fani haitakupa wewe pesa baada ya kuihitimu. Ni ushauri tu