Dawa ya mushana au kashwagala inakutisha? Mind set yako ndo mchawi. Bukoba kuna dawa za miti shamba utumiwa sana kipindi cha ujauzito na pia kuzuia magonjwa dawa iitwayo mshana. Acha kuamini vibaya utakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa na kutafakari watanzania wenzetu wanaopoteza maisha kwa kuuawa na watu watu wa wasiojulikana.
Mi kama Mtanzania, ninayependa utu na kuthamini wenzangu ninaomba kuwa sehemu ya kusaidia sio kulaumu.
Kwanza kabisa ukiibiwa huwa unahisi ni nani mwizi. Na katika research kuna Hypothesis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.