tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Hata DC kafanya kosa mana kwa hayo majibu,alitakiwa kujua jamaa ni kichaa au zimeyumba kichwaniWatoto wapelekwe shule wazazi wapelekwe mirembe hospital
Hata DC kafanya kosa mana kwa hayo majibu,alitakiwa kujua jamaa ni kichaa au zimeyumba kichwaniWatoto wapelekwe shule wazazi wapelekwe mirembe hospital
AMA KWEELI.. JIWE ANGAVU. 🙃Kwa baba na mama.
#MaendeleoHayanaChama
Wasipopona huko wapelekwe kwa watani wangu Lutindi Mental Hospital ya kule Khoogwe vijijiniBaba na mama wote vichaa, mirembe ndio kunawafaa
OhoooooKumbe kuna wakristo wenye itikadi kali pia.
Familia ya Merchades Buberwa, mkazi wa Kasarani, Bukoba mkoani Kagera, imeeleza haina mpango wa kuwapeleka shule, lakini pia watu wa familia hiyo hawamiliki simu, hawaangalii televisheni na hawashiriki shughuli zozote za kijamii wakidai kuwa Mungu wao anakataza na kufanya hivyo ni dhambi.
Hayo yote yanajiri baada ya Mkuu wa wilaya ya Bukoba Deodatus Kinawiro, kumwagiza afisa elimu ya msingi wa manispaa hiyo, kuwakamata na kuwapeleka shuleni kwa nguvu, watoto watatu wa familia hiyo ya anayejiita mchungaji aliyekataa kuwapeleka watoto wake shule kwa madai ya kuwa kufanya hivyo ni dhambi maana maandiko ya Mungu hayaruhusu watoto kwenda shule.
Familia hiyo inao watoto watano na wote hawasomi na mkubwa kati yao ni wa kike mwenye umri wa miaka 13, mbali na kutokwenda shule, wakiwa wadogo hawajawahi kupelekwa kliniki na pia wakiumwa hawapelekwi hospitali, ambapo mkuu huyo wa wilaya amesema baba huyo akiendelea kushikilia msimamo wake wa kuzuia watoto kwenda shule atakamatwa na kushtakiwa.
Baba wa watoto hao Merchades Buberwa ambaya amesema ni mchungaji wa kanisa la wakristo washikao amri za Mungu, ambalo makao yake makuu yako mbinguni, amesema hayuko tayari kuruhusu watoto wake kutenda dhambi kwa kwenda shule, huku mkewe Agripina Maganja, akimweleza mkuu huyo wa wilaya kuwa Mungu atasimama kuwatetea.
Mkuu ulikuwa unatuonaje Wahaya, type zote za watu zipo kabila kubwa hili. Sio kila mhaya ni Ruge au Rugemalira.Anasimamia mstari upi kutoka kwenye Bible unaosema watoto wasipelekwe shule?
Kumbe kuna baadhi ya Wahaya wako kwenye stone age
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mgombea wa uraisi alikua anaitwa Maganja atakua kaka wa mama mchungaji mtu anaitwa Maganja unategemea nn?
Muhaya kaja je hapa. 😂😂 Huyu muha kazamia BukobaAnasimamia mstari upi kutoka kwenye Bible unaosema watoto wasipelekwe shule?
Kumbe kuna baadhi ya Wahaya wako kwenye stone age
Kama Nabii Tito alikuwa na waumini anajaza kanisa sembuse huyuHuezi amini licha ya ukanjanja huu,wapo watu watakwenda kujiunga kwa mchungaji huyu wawe washirika wake,dunia haiiishi maajabu.