Hicho ndiyo zito alichokuwa anakita. Hii ndiyo tabia ya ayatolah zito zuberi kabwe. Kwa tabia yake, hii act haitokuwa na muda mrefu kwenye medani za kisiasi.
Watu walilukuwa wanamuona mungu mtu. Walichokuwa wanakitaka ndiyo hicho,na yeye zzk alichokuwa anataka ndiyo hicho,kwa yale maneno maneno ya kusema chadema ni chama mtei nafikiri yamekwisha.kwa watanzania mmekiona chama cha mtu binafsi aliyeshika madaraka yote ya act ni zito zuberi kabwe.act...
Watu waliluwa wanamuomuona mungu mtu. Walichokuwa wanakitaka ndiyo hicho,na yeye zzk alichokuwa anataka ndiyo hicho,kwa yale maneno maneno ya kusema chadema ni chama mtei nafikiri yamekwisha.kwa watanzania mmekiona chama cha mtu binafsi aliyeshika madaraka yote ya act ni zito zuberi kabwe.act...
Mnakipenda sana chama cha mapinduzi,mnalalamika nini? Na bado-mkiambiwa chama hiki hakifai hamuelewi.2015 tubadilishe chama kingine,ccm imezeeka.wakati wake umekwisha.
Labda achaguliwe mwenyikiti ambaye anaweza kufanya kazi kwj uadilifu,hao wote waliongoza pac walikuwa wabadhirifu,na ni bora wengine wameamu kujitoa wenyewe.wameamua kujitoa wakati pac imemaliza muda wake, na hao waliobaki wote wajijue kuwa wachafu.hawawe kutupeleka tunakotaka.
Askofu pengo ameamua kuwa askofu wa chama cha mapinduzi.kama ameaua hivyo basi avue joho avae gamba ili watanzania tujue kuliko kujificha.asofu pengo hukuwa hivyo nakushangaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.