Mtu kukana alichokisema siku chache zilizopita ndio una mwita mwanasiasa boraJk ni kiongozi wa kisiasa......kati ya sifa inayomjenga mwanasiasa bora ni ile ya wepesi wa kuzisoma alama za nyakati,kwenye hilo nampongeza na inamtofautisha na viongozi wengine waliomtangulia ambao wako tayari kufa na msimamo hata kama hauna manufaa kwake na jamii inayomzunguka!!!!
j.k ni mnafiki ndumilakuwili mkubwa na ndiye anayevuruga mchakato wa katiba!
Hii ni tofauti na alichosema kwenye bunge la katiba!
Uzuri wa jk ni mtu wa kuonesha njia halafu watu wachague baada ya yeye kuonesha njia.
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
Huyu jamaa ni mnafiki sana!
Hana lolote. Ole wako ufanye ishu na jk. Utaishia kuona mauzauza tu.JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
mnafiki huyo si juz tu katupiga mkwara, shwn kubwa
Wala hilo sio tatizo, infact JK alikiri bungeni kwamba athari za serikali mbili zipo na akazitaja, japo alidanganya Bunge kwamba "zimebaki kero tatu."Ingekuwa vyema athari za serikali tatu zingeanishwa sambamba na athari za serikali mbili tuone;
Hii ni tofauti na alichosema kwenye bunge la katiba!
Hakuna tofauti, tatizo wanachadema ikiwa pamoja na wewe hamuelewi neno "demokrasia". Elimu ya uraia inahitajika zaidi.
Kwa kukusaidia ni kwamba alichosema Bungeni ni jinsi yeye anavyoamini kuwa serikali Mbili ndio njia muafaka kwa maendeleo ya watanzania. Alichosema London ni kwamba kama wananchi wataamua serikali tatu, yeye atayakubali maamuzi ya wananchi na atafanya kazi nao kwa maendeleo ya Tanzania. Kiswahili kigumu au demokrasia ni ngumu.
Mfano hai: Uchaguzi mkuu 2010 CHADEMA waliamini kuwa Raisi ajae katika uchaguzi huo atakuwa mtu anayeitwa " Dr Slaa". Lakini wananchi wakasema vinginevyo na kumpeleka ikulu Kijana anayeitw "Kikwete". CHADEMA WAKAsema hawatafanya nae kazi. Ingekuwa kama ndio Slaa amechaguliwa ,Kikwete angepanda jukwaani na kusema nimekubali maamuzi ya wananchi na nitafanya kazi na Slaa. Hivi huu ndio undume la kuwili.
Du CHADEMA mnaniacha hoi. Jamani mtaharibu nchi.
Huyu ni Rais wetu, ni nembo ya Taifa letu ukimtusi yeye umeitusi Tanzania yetu acha tabia yako sio nzuri heshimu nembo za Taifa letu. Kama mwenyekiti wa CCM na Rais wa nchi ni kweli alikosea sana kuhutubia yale aliyohutubia. Mfano kukataa kwamba mbunge aliyeumwa miez sita mfululizo aendelee kua mbunge hapa alikosea sababu ubunge ni uwakilishi sio ajira, wananchi wanahitaji uwakilishi bungeni hivyo katiba ingeruhusu aondolewe ubunge na nafasi yake achukue yule aliyemfuatia kwa idadi ya kura na huyu mbunge aendelee na matibabu kisha apewe stahiki zake kwa kipindi cha miaka mitano ya ubunge wake itakua ni msaada mkubwa kibinadamu kwake kuliko kuendelea kuwanyima uwakili wananchi. Hilo moja na kitendo ha kusisitiza msimamo wa serikali mbili kwa CCm ni kufuta maana ya bunge la katiba maana kama msimamo ni kwamba tetea hata kama ni kibaya we tetea tu