Maoni ya wananchi kuhusu taasisi za usimamizi kama PAC, LAAC & CAG

Uwajibikaji wa viongozi ni jambo la kimfumo. Serikali yetu imejengwa katika mfumo wa kimasilahi binafsi, chama fulani na kulindana zaidi. Inaweza kutolewa hoja ya msingi na yenye masilahi kitaifa lakini hoja ikageuzwa ya kisiasa kwa lengo la kuwalinda mafisadi.
 
Ingelikua serikali inayafanyia kazi maazimio yanayotolewa na hivi vyombo bila kuingiza siasa rushwa ingekwisha.
 
Labda achaguliwe mwenyikiti ambaye anaweza kufanya kazi kwj uadilifu,hao wote waliongoza pac walikuwa wabadhirifu,na ni bora wengine wameamu kujitoa wenyewe.wameamua kujitoa wakati pac imemaliza muda wake, na hao waliobaki wote wajijue kuwa wachafu.hawawe kutupeleka tunakotaka.
 
Back
Top Bottom