Recent content by Kasta

  1. K

    Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

    Sikuwa nafahamu kama TISS haina meno. Nadhani ndio maana yanajitokeza mambo mengi ambayo wengi tusiojua, tunajikuta tunahoji juu ya uwezo na utendaji wa TISS
  2. K

    Waziri Nchimbi afukuzwa kwenye mazishi ya mchungaji wa aliyeuliwa kwenye vurugu za kidini

    Mnapindisha katiba ya nchi halafu mnataka huruma ya wakristo, hatupo wajinga kiasi hicho.
  3. K

    Watanzania tahadharini kwani tunapotoshwa na M4C

    Kwa insane kama wewe sishangai ukimwita mwenzio idiot
  4. K

    Watanzania tahadharini kwani tunapotoshwa na M4C

    Bahati nzuri hakuna sehemu iliyoandikwa kuwa kama hushabikii CDM basi lazima ushabikie CCM. Tatizo la kutotumia ubongo kufikiri ndio linalokusumbua.
  5. K

    Watanzania tahadharini kwani tunapotoshwa na M4C

    Kwa mtu mwenye akili zake timamu na anayetumia ubongo kufikiria hawezi kushabikia umbulula wa M4C
  6. K

    Precision Air versus FastJet, Nani zaidi

    Wanachosema hawa jamaa ni kuwa katika kila abiria 200 wanaosafiri kwa mara moja, kunakuwa na tiketi 50 za nauli ya 43,000 (32,000 bila kodi), na mafungu mengine ya sh. 59,000/, 75,000/, 96,000/ hadi 291,000/. So price inategemea availability ya hizo chances. Mie nimepata ya 59,000/ kwa tarehe15...
  7. K

    MSAADA: laptop inawaka ila haitoi mwanga kwenye screen.

    Je ukiangalia kwa karibu unayaona maandishi kwa mbali? Kama maandashi yanaoneka kwa mbali sana hiyo itakuwa imeunguza circuit inayoendesha taa za screen. Hiyo circuit inaitwa display inveter au display switch.
  8. K

    Waarabu wana nguvu Iringa

    Ndugu yangu sina uhakika umetumia vigezo gani kuhitimisha hiyo research yako. Naomba utuombe radhi wahehe hasa katika hayo maneno yenye rangi nyekundu.
  9. K

    Nashangaa peke yangu au twaSHANGAA WOTE!

    Kikubwa ni Basic Mathematics ya O'level.
  10. K

    25 things not to say when doing sex

    Du hiyo namba 25 akitamka unaweza ukaghaili hata shughuli yenyewe.
  11. K

    Yah: DELL OPTIPLEX GX 620

    Mkuu pole sana kwa hilo tatizo. Hiyo rangi inaitwa "Amber" color. Systems za dell huwa zina rangi mbili tu, green na amber. Amber color inaonyesha kwamba kuna tatizo kwenye system hasa hasa huwa ni motherboard ingawa mara chache sana huwa ni memory (RAM). Green huwa inaonyesha kwamba system ipo...
Back
Top Bottom