Recent content by kassongo iddi

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Habari zenu Mimi nipo dar kimaisha nahitaji mwanamke ambaye atakuwa mke wangu kama ataridhika na Mimi kwani nipo seriously na awe na umbo la kike na mnene. Tuwasiliàne Kwa namba 0713341651. Karibu
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wa kuoa

    Nipo Dar natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu na sifa kubwa awe mnene na mwenye mapenzi ya kweli na kujiheahimu na Sina ubaguzi wa kabila Wala dini na aliye tayari tuwasiliàne Kwa namba 0754292989
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kuoa

    Zero 00000000000
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kuoa

    Mimi nipo Dar kimakazi nahitaji mwanamke ambaye tuje yangeja maisha hadi ndoa na aliye tayari naomba tuwasiliàne Kwa namba 0754292989.
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi wa kike aje kuwa mke baadaye

    Una maana gani na upo wapi ila nimependa miguu yako na namba zako zipi nisikie sauti yako
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi wa kike aje kuwa mke baadaye

    Mimi nipo hapa dar na natafuta mpenzi wa kike ambaye anaweza kuwa mke wangu, umri wake usizidi miaka 50, umri wangu ni miaka 55. Tuwasiliane PM.
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka 55. Mimi umri wangu miaka 57 na aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0754292989
  8. K

    JamiiForums Tanzania Lipumba: CHADEMA sasa wamekosa dira kabisa, ule UKUTA wao ulikuwa ni wa biskuti

    Sikubaliani na maneno ya Profess a lipumba ukiangalia Cuf na chadema kwa sasa chadema IPO mbele zaidi ya Cuf yeye alichofanikiwa no kuigawanya Cuf kuwa mapande 2 na katika miaka 18 ya uongozi Cuf alishindwa kuifanya Cuf ikubalike Tanzania bara na ndio maana ilishindwa kupata mbunge hata kwao...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sakata la Wabunge wa CCM kuhongwa: Mbowe aongea na wanahabari

    Je ushahidi wa nani unaoaminika. Kwani si wapo watoaji na wapokeaji hivyo rushwa ni wajibu wa takukuru kufanya kazi yako. Sio mbowe tena kumsema mbowe sio sahihi. Majungu tiache.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kama Godbless Lema Hajapelekwa Mahakamani kesho Habeas Corpus Kutumika

    Hii ndio Tanzania nchi yenye kufuata utawala bora na unapouangalia huko utawala bora jibu hakuna
  11. K

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Kweli. Hata Mimi nampongeza sana Pascal mayalla ameweza kuuliza maswali bila woga na ya msingi. Tunataka waandisji kama.hawa.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kuanzia kesho hadi kiama sitonunua tena haya Magazeti yafuatayo

    Kweli nayo sio maswali inaonyesha maswali ya kitengenezwa na hawafai kuwa wahariri kutokana na maswali yako dhaifu
  13. K

    JamiiForums Tanzania Je, Lowassa angeweza kusimama masaa 2 kujibu maswali?

    Angeweza Nina uhakika Mh. Lowassa ni MTU mwenye nguvu na afya njema sana angesimama na kumjibu maswalinyote kwa umakini na ufasaha yeye ni mwanasiasa na siasa anaijua
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia ujumbe Mkuu wa Mkoa wenye neno 'Shoga'

    Ukweli. Kwako litakuwa sio tusi kwa mwengine no tusi. Hapa Tanzania kuna maneno mengi kama hayo
  15. K

    JamiiForums Tanzania Wabunge CHADEMA wakubali yaishe, CUF watengwa!

    Hoja yako haina msingi Yale yalikuwa mazungumzo ya wabunge was chadema na wasemaji walikuwa vingozi was chadema sio mazungumzo ya ukawa yangekuwa ya ukawa Cuf wangekuwepo. Mimi Mwana Cuf na nalitambua hill fuatilia mambo ya chama chako
Back
Top Bottom