Kupenda nchi si kuipeleka nchi matatizoni bali ni kuilinda na kutoshabikia na kuendekeza chuki ,kejeli na Kiburi chako,majivuno,visasi na itikadi. Kupenda nchi ni kuruhusu mawazo ya watu wengine kuwa sehemu ya maamuzi yako hata kama huyapendi. Siyo kila kitu kizuri unacho wewe. Ndio maana hata...