Ila tatizo la mechi ya Leo ni kwamba tutakuwa na pressure sana, kama ilivyotokea kwa Sunderland, inabidi tucheze defensive game ndo tutaweza wafunga spurs. Ili litawezekana kwa kutumia midfielders watano ( Gerard, Lucas, Allen,Henderson na rahem) alafu pale nyuma akae sakho, strkel na Johnson...