Recent content by kashibaba

  1. K

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Kumbuka unaleta taarifa jukwaa la watu wazima na baadhi wanafanya kazi kwa NGOs...
  2. K

    Yanga yaachana Rasmi na Kelvin Yondan na Juma Abdul

    Shukrani za punda...
  3. K

    Kaka yangu Lissu utakuwa tayari kupokea matokeo ya Urais pindi utakaposhindwa?

    Lakini pia vipepeo wameshapepea tayari nafikiri kuona halo halisi ya badae...sis kama taifa tutulie na wale waliopo kwenye daftari la mpiga kura wapige kwa amani...Tz yetu naamin tutavuka salama tu labda watu walazimishe kwa matakwa yao wenyewe
  4. K

    Kaka yangu Lissu utakuwa tayari kupokea matokeo ya Urais pindi utakaposhindwa?

    Ni muhimu maamuzi yake yawe ya chama chake maana naamini busara itatawala...lakini upope unaweza usiwe upande wake kulingana na dalili zilizopo
  5. K

    GE2020 Hesabu zinambeba Membe awe mgombea pekee kwa tiketi ya Upinzani

    Hivi wadau masoud kipanya alitengeneza kibonzo kimoja kinauliza nani tumtume term hii...kuna mtu ancho akitupie humu
  6. K

    Sare mpya ya CHADEMA yatikisa nchi, wananchi waisaka kila kona bila mafanikio

    Sio maana yangu hiyo...kampeni hata ya mitandaoni kwa ajili ya watu kwenda kijiandikisha haikuwepo kubwa...yaan itashangaza wengi October
  7. K

    Sare mpya ya CHADEMA yatikisa nchi, wananchi waisaka kila kona bila mafanikio

    Dafatri la wapiga kura limeshafungwa nadhani...chadema sikuona wakihimiza watu kwenda kujiandikisha kama mwaka 2015...watu hawataki kuona ukweli...
  8. K

    Hili ndio Baraza la Mawaziri wa Tundu Lissu litakavyokuwa

    Nchi ya kufikirika hii..tz yetu msahau
  9. K

    Don Nalimison nimerudisha Kitambulisho Cha Taifa la Tanzania(NIDA) kuanzia sasa sina Kitambulisho cha Uraia wa Tanzania

    Utakuja utambue madhara ya kupoteza uraia siku za usoni leo waweza kuamua kwa hasira namna hiyo lakini uhalisia hukujileta duniani na una watu walioko ndani ya nchi wa familia yako...kila la kheri lakini inaonekana unapotea kaka...
  10. K

    GE2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

    Ccm itashinda kwa kura nyingi zaidi ya uchaguzi wa 2015
Back
Top Bottom