Recent content by kasena

  1. kasena

    Lowassa mikoa 26, mikutano 104, Magufuli mikoa 20, mikutano 180, Yupi dhaifu?

    Kwani kufanya mikutano mingi isiyo na tija na kufanya michache yenye ushawishi na yenye mlengo wa mabadiliko lipi laweza kua bora kwa watanzania? Mwaka huu lazima mtaona kila rangi
  2. kasena

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Gari yake imeharibika sana mbele kwa picha ambayo nimeiona
  3. kasena

    Serikali ya CCM yashindwa kulipa madeni ya watumishi

    Mbaya zaidi jana polisi wameongezwa posho za kati ya mwezi toka 180000 hadi 300000 tutapigwa sana kipindi cha uchaguzi
  4. kasena

    CCM Kumbe ilikuwa ni nguvu ya Soda

    Huku mtwara Lowasa ndo habari kuu wafanyabiashara wote wamepanga kufunga biashara zao siku moja kabla ya ujio wake ili kumpokea chaguo lao
  5. kasena

    Wasomi wa Elimu ya Juu wakataa kuburuzwa

    Nimkumbushe mchokoza mada kidogo tuu kipindi cha utawala wa Nyerere(baba ea Taifa) elimu ilikua bure from kindagaten to university level. Why not now? Thus it's possible 4Tanzanians to offer free education up to university level. The problem which faced our government they felt how to utilize...
  6. kasena

    CHADEMA wamhujumu Lowassa rasmi, wavunja UKAWA kusini, CUF kumwaga mboga

    Ulieleta uzi huu unauhakika? Umeshawahi kuja mtwara na kufanya utafiti japo kidogo kuhusu lowasa? Kwa ufupi lowasa ni chaguo la wanamtwara na haijawahi kutokea. Kuhusu mgogoro ni kweli na ni jimbo moja tuu la mtwara mjini ambalo mimi ni mkazi wake jimbo ambalo Vikao vya juu viliamua wapewe NCCR...
  7. kasena

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Msibishane nao hao hivi huyo lizabon anajua hata idadi ya wakazi wa Zanzibar? Kusoma hajui hata picha haoni? Endeleeni tu kusema moto wa mabua. Tukutane october 25. Ndoroooboooo nyie
  8. kasena

    Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

    Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga
  9. kasena

    Hongera wasanii maarufu wa CCM

    Mandoroooooooooobooooooooo
  10. kasena

    Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

    Lizaboni hana jipya yeye kila mada ni UAWA, CHADEMA na Dr.Slaa tafuta kwa miccm wenzaki uandike mf;Nape ahojiwa na takukuru kwa kuhonga wapiga kura wa ccm jimbo la Mtama- Lindi ahojiwa kwa saa tano, mbunge wa babati ccm akimbia takkuru na kuacha gari yake, Wasira amtwanga mwenyekiti mkoa wa mara...
  11. kasena

    Sijaskia watu wa Mtwara nao wamepokeaje kuhama kwa Lowassa, hali ikoje huko?

    Mimi nipo mtwara kiukweli baadhi ya maeneo niliyobahatika kufika ndani ya manispaa ni Mkanaledi kulikua na maandamano ya vijana wa bodaboda wakiimba Lowasa…Lowasa!! Pia maeneo ya soko kuu mtwara nilipopita vijana wengi walikua katika makundi na ukiwasikiliza wanachoongelea ni ujio wa Lowasa...
  12. kasena

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Kama huna vitu vya kupost uwe unakaa kimya mwehu wewe sio unaleta taarifa za kipumbavu kipindi hiki watu wanaelekea kuchukua dola. Hii mijitu ya ccm kama imelogwa vile inaboa kinyama
  13. kasena

    Clouds TV mnatia aibu!

    Kiukweli wanaboa ukiangalia taarifa yao ya habari ni kama comedian ni bora wasiwe na taarfa ya habari tu waendelee kyfanya promo maana ndo wanachoweza zaidi
Back
Top Bottom