Kwani kufanya mikutano mingi isiyo na tija na kufanya michache yenye ushawishi na yenye mlengo wa mabadiliko lipi laweza kua bora kwa watanzania? Mwaka huu lazima mtaona kila rangi
Nimkumbushe mchokoza mada kidogo tuu kipindi cha utawala wa Nyerere(baba ea Taifa) elimu ilikua bure from kindagaten to university level. Why not now? Thus it's possible 4Tanzanians to offer free education up to university level. The problem which faced our government they felt how to utilize...
Ulieleta uzi huu unauhakika? Umeshawahi kuja mtwara na kufanya utafiti japo kidogo kuhusu lowasa? Kwa ufupi lowasa ni chaguo la wanamtwara na haijawahi kutokea. Kuhusu mgogoro ni kweli na ni jimbo moja tuu la mtwara mjini ambalo mimi ni mkazi wake jimbo ambalo Vikao vya juu viliamua wapewe NCCR...
Msibishane nao hao hivi huyo lizabon anajua hata idadi ya wakazi wa Zanzibar? Kusoma hajui hata picha haoni? Endeleeni tu kusema moto wa mabua. Tukutane october 25. Ndoroooboooo nyie
Watu kwa hisia zao ndio walimpokea kwa mabango na maandamano sasa yeye kosa lake liko wap? Amani gani ya nchi ameiharibu? Asipost vitu tu kwakua mtazamo wake ni mwingine. Hebu aonyeshe huo uvunjifu wa amani kwa muktadha wa jana pale mwanga
Lizaboni hana jipya yeye kila mada ni UAWA, CHADEMA na Dr.Slaa tafuta kwa miccm wenzaki uandike mf;Nape ahojiwa na takukuru kwa kuhonga wapiga kura wa ccm jimbo la Mtama- Lindi ahojiwa kwa saa tano, mbunge wa babati ccm akimbia takkuru na kuacha gari yake, Wasira amtwanga mwenyekiti mkoa wa mara...
Mimi nipo mtwara kiukweli baadhi ya maeneo niliyobahatika kufika ndani ya manispaa ni Mkanaledi kulikua na maandamano ya vijana wa bodaboda wakiimba Lowasa Lowasa!! Pia maeneo ya soko kuu mtwara nilipopita vijana wengi walikua katika makundi na ukiwasikiliza wanachoongelea ni ujio wa Lowasa...
Kama huna vitu vya kupost uwe unakaa kimya mwehu wewe sio unaleta taarifa za kipumbavu kipindi hiki watu wanaelekea kuchukua dola. Hii mijitu ya ccm kama imelogwa vile inaboa kinyama
Kiukweli wanaboa ukiangalia taarifa yao ya habari ni kama comedian ni bora wasiwe na taarfa ya habari tu waendelee kyfanya promo maana ndo wanachoweza zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.