Zemakopo naona unashindwa kuelewa jinsi ya kufanya utafiti, mshindi ktk uchaguzi huu ni chadema.
Kwasababu daftari la wapiga kura halijarekebishwa na kata hizo karibu zote isipokuwa zile nne za Arusha na nyingine moja zote zilikuwa zinashikiliwa na ccm na cdm imenyang'anya toka ccm. Hivyo...
Inawezekana kabisa wewe ni mhusika au unawajuwa wahusika na hapa unajaribu kutuondoa kwenye mawazo ya kuwatuhumu ccm, labda huu ndo mkakati wenu, sisi tunajua kwahakika wale wenye dhamana ya usalama hapa Nchini ni serekali ya ccm na kama lolote linatokea basi wahusika ni serekali ya ccm ndiyo...
Serekali ya kidini? Una akili sawasawa wewe? Hujui kuwa nchi hii haina dini ila ccm inapandikiza udini na kuwabeba waislam? Siasa zako na mawazo yako yapotelee mbali na serekali ijayo.
Nawaomba wacdm wenzangu tuache kufikiria kuchukuwa nchi kwa sasa badala yake tuendeleze m4c kwa bidii ili ienee...
Mimi ningemjibu kuwa tatizo ni mtambo unaofyatua viongozi ndani ya ccm ambao unaitwa rushwalism, huu umewalevya ccm wote kiasi kwamba hawawezi tena kufyatua viongozi bora na hatari iliyopo hata 'bora viongozi' hawapatikani tena, hawa ' bora vuongozi' walikuwa wakati ule ni kama akina Kawawa...
Kwani diwani hapo hoja ilikuwa ni mtiririko wa elimu au hoja ni elimu na ubora wake?
Nb: tupia na ya kwako tukujadili kidogo, tumesharidhika ya dr Slaa tunataka ya mwingine tuanze na ya kwako mkuu wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.