Mkuu nimekuona fala sana.
Badala kuishauri TRA wawachunguze waliotajwa kwenye ripoti ya CAG waliohusika na upotevu mabilioni ya kodi ambayo imeshakusanywa, eti wamchunguze mpambanaji anaejidhalilisha kuitafuta hela?
Pia itakuwa huelewi kuwa sio kila hela inalipiwa kodi, kuna watu wana basic...
Mathayo 27:46
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Umefupisha kati apo ili uharibu maana ya aya:
"And kill them wherever you catch them, and drive them out from where they drove you out; and temptation (Or: discord, sedition) is more serious (Literally: stronger) than killing; and do not fight with them at the Inviolable Mosque until they fight...
Video imeandikwa kwa kiarabu:
"Hii ni katika mpaka wa Niger na Nigeria"
Alafu kuna mtu anakuja kuandika Darfur[emoji3][emoji3][emoji3]
Niger kuna makundi mangapi ya waasi ambao sio waislimu??
Nadhani shida haipo kwenye hisa, shida ipo kwenye kulitia hasara taifa, coz akianza kuvunja wakati wawekezaji walifata taratibu zote na wana vibali halali kuna possibility ya kushitakiwa serikali na ikitokezea serikali ikashindwa kodi yako ndio italipa hiyo fidia ya hasara kwa mwekezaji.
Maelezo yepi unayoyataka??
Nimesema jana nilipigiwa simu nikaambiwa tumepokea mzigo wako kutoka AliExpress, unatakiwa uje uufate ofisini.
Sikutaka kuuliza kama wao ni agents au ni ofisi ya AliExpress, muhimu nililipia gharama ya usafirishaji mzigo kwa supplier, njia alioitumia yeye kusairisha...
Rahisi sana,
Unapiga:
*150*01#
7. Huduma za kifedha
7. TigoPesa Kadi
1. Tengeneza kadi mpya...
then utachagua ikiwa unataka ya kutumika mara moja ama unataka ya miezi mitatu (zote kutengeneza ni bure)
Ukimaliza apo apo unatumiwa apo apo unatumiwa namba ya kadi yako, jina na zile namba tatu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.