Recent content by Kasanzu The Great

  1. Kasanzu The Great

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Najua Mama chatanda ni spika, yupo mwenye agenda nyuma ya hili suala. Mungu ampiganie Makonda, ipo siku kuna watu wataaibika. Makonda chapakazi tambua wapo watu nyuma yako tunakuombea. Mama asikubali maadui wa Magufuli wawaandame wasaidizi wake
  2. Kasanzu The Great

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Hilo ni tatizo la Dunia nzima. Unaweza kumwandaa lakini ukashangaa kabaki jikoni anadeki na kufua mpaka ahakikishe umesinzia ndio anakuja kitandani. Don't stress yourself mwelewe tu hivyo hivyo. Hasa ukibahatika kujenga na mke akawa Ndani ndio hatari zaidi
  3. Kasanzu The Great

    Israel yatangaza kuanza kukodisha wanajeshi mamluki

    Vyuo vinafunguliwa, muda sio mrefu askari Wa akiba watarudi vyuo I kuendelea na masomo yao. Kutokana na Suala hilo Israel itakuwa na uhaba Wa askari
  4. Kasanzu The Great

    MSAADA: Utukutu wa mtoto wa ndugu yangu unanishinda, anafanya matukio kila kukicha, nifanyaje?

    Mzee huyo mtoto kiroho hamko naye, umemtenganisha na ndugu zake Wa damu kwa muda mrefu. Fanya utaratibu mpeleke kwa ndugu zake, kama baba yake yupo mtafute wazungumze. Mpeleke kijijini walau akasalimie wazee, akasafishe kaburi za wazee wenu Kisha mrudi mjini. Kama ataendelea nikate vidole
  5. Kasanzu The Great

    Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

    Vita ikianza watakaokufa ni Wanawake na watoto. Wao watakimbilia Miami Dubai na Doha kula bata. Watangulize watoto wao kwanza. Kuna umuhimu gani kufanya wanachokifanya, UN ianze kulaumiwa na kubeba msalaba Wa wakimbizi
  6. Kasanzu The Great

    Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Ugaidi hauna visingizio vyovyote. Tusishabikie hata kidogo. Tusihalalishe ugaidi kwa kisingizio chochote
  7. Kasanzu The Great

    Ni muda sasa Aljazeera kuwapumzisha wana habari wao na vita Gaza wataisha

    Kituo cha AL Jazeera kwa ujumla ni mashabiki Wa Hamas, wanahamasisha mapigano ya Hamas na wako tayari kuonesha hata maiti hadharani kwenye Kituo Chao kinyume na maadili ya Habari ili kutoa uchochezi. Wale waandishi Wa AL Jazeera kimsingi sio waandishi wale bali wafanyakazi Wa Hamas katika...
  8. Kasanzu The Great

    Nitaambiwa nachochea chuki, jioneeni hapa👇

    Ushabiki Wa mpira ukiingiza dini unaharibu, lazima tujue kutenganisha dini na michezo, ukiamua kutafsiri kila jambo kwa mitizamo Wa kidini wallah I huwezi kuishi kwa Amani. Mpira ni hisia sio dini wala rangi. Mimi ni shabiki Wa Ronaldo automatically nimekuwa shabiki Wa timu ya AL Nasri, mimi pia...
  9. Kasanzu The Great

    PreGE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

    Ukisoma post hii unaweza kudhani Dr. Mwinyi ni changamoto, kumbe wapinzani Wa Makonda Wa najaribu kutumia njia nyingi kutisha Mama. Kwa ufupi Dr. Mwinyi hatagombea, Makonda ndiye mwenezi wetu na atawacharaza Sana 2025. Upinzani jipangeni kupata jimbo hata moja itakuwa kama Ngamia kupenya kwenye...
  10. Kasanzu The Great

    Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

    Huyo mtangazaji alikuwa mfuasi Wa Hamas yeye na watoto wake wawili. Ukishakuwa mfuasi Wa upande mmoja Wa vita tegemea lolote. Dunia hakipaswi kuwa na upande katika vita hivi ili suluhu ya kudumu ipatikane watu Waishi kwa Amani. Umoja Wa Mataifa upewe nguvu na Jumuiya ya Kimataifa kusaka suluhu...
  11. Kasanzu The Great

    Uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda utamfanya Rais Samia apendwe Kanda ya Ziwa?

    Makonda ni Mwamba, kama Chama kitaamua kumpa ushirikiano asilimia 100 atafanya CCM ichangamke kila idara na Kanda ya Ziwa itageuka kuwa ngome ya Mama. Swali lako liko wazi, Mama amepiga hesabu kali
  12. Kasanzu The Great

    Maridhiano ya serikali na CHADEMA mustakabali wake ukoje kwa hali ya sasa ya utendaji wa polisi?

    Matusi anayetukanwa jirani yako huwa hayaumi, siku ukitukanwa wewe ndio tutajua ustahimilivu wako.
  13. Kasanzu The Great

    Tetesi: Friends of Simba wanamtuhumu Mwenyekiti wa Simba kuwasaliti

    Vita vya maslahi, tunataka kuona Simba ikisonga mbele. Kama mnadai hela au mlibanwa kupiga 10 percent jitokezeni hadharani tuwajue
  14. Kasanzu The Great

    Zitto Zuberi Kabwe yuko wapi? Kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki

    DP World sio wajinga. Washajiandaa mapema kabisa. Mbwa Kaliwa
  15. Kasanzu The Great

    Mke kwenda kwenye party ya harusi usiku mume akiwa safari

    Party ya mdogo wake unakataaje? Huko kwa mdogo wake ndio Kuna Dada zake, Mama zake, nk. Angekosekana ingekuwaje? Hata asipoenda Party anaweza kwenda guest au Lorge au geto kwa mtu. Be gentleman
Back
Top Bottom