Recent content by kasangezi001

  1. kasangezi001

    Kuweni makini na tapeli huyu

    Pole yake. Link hiyo
  2. kasangezi001

    Kuweni makini na tapeli huyu

    Sina Muda wa kupoteza na watu wa aina hii mkuu
  3. kasangezi001

    Kuweni makini na tapeli huyu

    Sasa ndugu ile nafasi uliyoniomba ya kijana wako kujiunga na jeshi.(jwtz) imepatikana naomba leo mapema tuwasiliane kama bado unahitaji. Nimepokea ujumbe huu kutoka namba 0754 437292 sijajibu wala kufanya chochote Kwani nimeona hainihusu kuweni makini
  4. kasangezi001

    Hivi baada ya mtu kufa na kuzikwa anaenda wapi?

    Nahutokuja kujua kamwe hiyo ni siri kwako mpaka siku itakapokuwa zamu yako. Hii ni siri kubwa kwa mwanadamu. Hapo ndio Mwenyezi Mungu alifanya yake ww baki tu kusikiliza story nyingi tu
  5. kasangezi001

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Napendezwa na majibu yako upo moja kwa moja kwenye point napenda sana
  6. kasangezi001

    Sijawahi kuambiwa nakupenda na mwenza wangu

    Achana na kuamini maneno amini vitendo yatosha
  7. kasangezi001

    Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

    Linajamaa limevuka mipaka aisee litakuwa Linamla........
  8. kasangezi001

    Naomba kufahamishwa faida walizopata walioshiriki kumkomoa Mh Lema

    Nakuhakikishia mh lema atakuwa mtu Safi baada ya hili jambo
  9. kasangezi001

    Naomba kufahamishwa faida walizopata walioshiriki kumkomoa Mh Lema

    Kula like. Na ninauhakika atakua na adabu sasa
  10. kasangezi001

    Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

    Kisieri chacha mashauri ngereja - Bismarck schools
  11. kasangezi001

    Kila kitu 'D'

    Even my gf is Deborah D. loh!
  12. kasangezi001

    Huyu sio bashite kwelii

    Inaonekana waha wapemba na wasukuma walisha kushika pabaya sana. Pole sana
  13. kasangezi001

    Kwanini wenye mafanikio hawaoi au huwa wanachelewa sana kuoa kuliko wenzangu na mimi?

    Nina 30+ na sijafikilia kuoa ndugu labda nikifika 40+ mungu akipenda
  14. kasangezi001

    Kwanini wenye mafanikio hawaoi au huwa wanachelewa sana kuoa kuliko wenzangu na mimi?

    Utakuwa na matatizo binafsi yani kushauliana na dada yako kuwe na mipaka ? Inawezekana mashauriano yako unamaanisha kugegedana. Nawaza tu kwa sauti
Back
Top Bottom