Kisu kimefika mfupani naona watu wameanza kuugulia maumivu, vita ni vita huwezi kumchagulia adui yako silaha ya kukupigia. Ili mradi clip hizo ni za kweli acha zitumike kufukunyua maovu yao
Kazi ya mbunge ni kufikisha malalamiko na kero za wananchi bungeni ili serikali iliyoko madarakani iweze kuyatatua /kushughulikia. Hivyo kama kuna maendeleo yamefanyika au hayajafanyika sifa au lawama ni kwa serikali iliyoko madarakani, Naomba ndugu wajumbe mulielewe hilo
Mkuu nakushukuru sana Kwa ushauri Maana narudi mjini lakini sina mipango , Najisikia vibaya nimekaa mbali na familia karibu miezi 2 nasubiri kibarua narudi nyumbani na beg tupu bila hata biskuti ya mtoto.
Wakuu habarini za majukumu! Ni karibu miezi 2 sasa toka nilipotoka Dar na kujielekeza Morogoro eneo la Kisaki kutafuta riziki ya familia kwenye Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Umeme.
Wakuu huu mradi ni mkubwa sana ila utaratibu wa kuchukua wafanyakazi hasa get la Kisaki ni mbovu sana.
Wajumbe...
Mkuu viongozi wa kijiji hiki cha Kisaki hasa wajumbe , wameigeuza hii ofisi ya kuopokelea maombi ya kazi kama Mali yao, Wamekuja na hoja eti wazawa wa kisaki kwanza,Wanatumia mwanya huo kuchukua mlungula wakati sisi tupo hapa toka miaezi ya 6 lakini order ikiletwa unaona watu wanaingia tu. Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.