Mrejesho wa mtazamo wangu kuhusu andiko hili
1. Ni kweli kila Chama kilishiriki uchaguzi kwa kiwango kikubwa licha ya kwamba vingine vilikuwa vinasumbuliwa na ukata lakini halikuwa tatizo la kutoshiriki.
2.No Reforms no election ulikuwa ni mkakati maalumu wa kususia matokeo na sio uchaguzi na...
Heri ya Mwaka mpya 2026 kwa kila mmoja, Mungu awe pamoja na kila mmoja kwa mwaka mzima.
Katika hotuba ya Mhe.Rais ya kuaga mwaka 2025 na kukaribisha mwaka 2026 alizungymzia suala la kuanzisha TUME YA MARIDHIANO YA KITAIFA mwaka 2026.
Niungane na wote waliopongeza hotuba hiyo iliyojaa matumaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.