Recent content by KARLO MWILAPWA

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

    Tanga Inahitaji MKAKATI mpya
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Britannica anapoweka taarifa fupi hivi Kuna jambo kubwa sana. Subiri nijaribu ku-decode Heading inasomeka ikiwa na alama ya kiulizo , hapo na ni kama anataka kujua nini umefanya tena. Katika kitabu Cha Mwanzo kwenye Biblia , Mungu alimwambia adamu ,upo wapi? Sio kwamba hakujua alipo ila alikuwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    Waziri ni msimamizi wa sera za wizara na sio majukumu ya ngorongoro na anayetakiwa kujiuzulu sio waziri ila ni kamishna wa uhifadhi ngorongoro
  4. K

    JamiiForums Tanzania Maoni: Serikali itumie njia hii kudhibiti ukwepaji kodi.

    Nasisitiza
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwako Rais Samia, fupa la ukwepaji Kodi Kwa wafanyabiashara wape wanunuaji wamalizane nalo lakini Serikali iwahamasishe kwa gawio katika manunuzi

    Nasisitiza hili, naweza kusaidia kufanikisha kwa matokeo makubwa kama nitahitajika
  6. K

    JamiiForums Tanzania Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

    .
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mkeka bado unapumua ?

    Ushindi ni matokeo ya 1. Kukubalika 2. Kuheshimika 3. Kazi nzuri 4. Kutambulika 5. Imani
  8. K

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Huu ndio uzi mfupi zaidi kuwahi kuandikwa na Britannica ambao sio tetesi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Simiyu: CHADEMA yaingia Mitaani kuhamasisha Tonetone, wananchi wajazana, shughuli zavurugika

    Hiko Cha mwishoni kwenye heading ndio KAZI wanayoweza CHADEMA , kavuruga shughuli
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ungependa yazingatiwe katika Katiba Mpya?

    3. Hata sasa spika sio lazima awe mbunge ila kwa naibu spika ni lazima. 5. Hata sasa bunge ni chombo huru chenye mamlaka yasiyoweza kuingiliwa na Rais. 9. Mikoa ikiwa na mamlaka hayo Kuna mikoa itarudi nyuma sana kiuchumi na kimaendeleo. 10. Wabunge watamchaguaje bila kupendekezwa? 11. Labda...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ungependa yazingatiwe katika Katiba Mpya?

    Napingana na wewe katika hoja zifuatazo: 1. Sikubaliani na wewe katika hoja ya kupunguza mamlaka ya Rais na wengi wanaotoa hoja hii wanaitoa kimihemko tu. Ili Taifa liwe imara ni lazima awepo kiongozi mwenye mamlaka na ukuu, ukipunguza mamlaka ya Rais utasababisha mamlaka ndogo ndogo zijivike...
Back
Top Bottom