Recent content by KARLO MWILAPWA

  1. K

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Hii amri ya Chalamila natamani Rais Samia akazie ili upigiliwe msumari wa mwisho, Chalamila yupo sahihi apongezwe
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mabasi kuondoka imekuwa kheri: Malori na ICD Wiki jiayo

    Kuna kila sababu Serikali kuanzisha Mamlaka ya usimamizi jiji la Dar es salaam na kuvunja Halmashauri zote zilizopo mkoa wa Dar es salaam. Kinatakiwa chombo kimoja kwa Dar es salaam nzima
  3. K

    JamiiForums Tanzania Aliyepasua kioo cha gari akidai bodaboda amegongwa akamatwa

    Sheria ichukue mkondo wake
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tanga ilitakiwa uwe mkoa wa pili kwa uchumi baada ya Dar Es Salaam

    Tanga Inahitaji MKAKATI mpya
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Britannica anapoweka taarifa fupi hivi Kuna jambo kubwa sana. Subiri nijaribu ku-decode Heading inasomeka ikiwa na alama ya kiulizo , hapo na ni kama anataka kujua nini umefanya tena. Katika kitabu Cha Mwanzo kwenye Biblia , Mungu alimwambia adamu ,upo wapi? Sio kwamba hakujua alipo ila alikuwa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ntobi: Waziri wa Maliasili na utalii ajiuzulu kufuatia mauaji ya kijana yaliyotokea Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro

    Waziri ni msimamizi wa sera za wizara na sio majukumu ya ngorongoro na anayetakiwa kujiuzulu sio waziri ila ni kamishna wa uhifadhi ngorongoro
  7. K

    JamiiForums Tanzania Maoni: Serikali itumie njia hii kudhibiti ukwepaji kodi.

    Nasisitiza
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwako Rais Samia, fupa la ukwepaji Kodi Kwa wafanyabiashara wape wanunuaji wamalizane nalo lakini Serikali iwahamasishe kwa gawio katika manunuzi

    Nasisitiza hili, naweza kusaidia kufanikisha kwa matokeo makubwa kama nitahitajika
  9. K

    JamiiForums Tanzania Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

    .
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mkeka bado unapumua ?

    Ushindi ni matokeo ya 1. Kukubalika 2. Kuheshimika 3. Kazi nzuri 4. Kutambulika 5. Imani
  11. K

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Huu ndio uzi mfupi zaidi kuwahi kuandikwa na Britannica ambao sio tetesi
  12. K

    JamiiForums Tanzania Simiyu: CHADEMA yaingia Mitaani kuhamasisha Tonetone, wananchi wajazana, shughuli zavurugika

    Hiko Cha mwishoni kwenye heading ndio KAZI wanayoweza CHADEMA , kavuruga shughuli
Back
Top Bottom