Ikiwa ni kweli kuhusiana na hizi taarifa kuhusu kujiuzulu kwa makamu wa Rais Dkt. Nchimbi, mtu anayefaa kwa uzoefu na uwezo alionao kupewa nafasi hiyo naona Dkt. Migiro, katibu Mkuu wa CCM kwa maslahi mapana ya Taifa.
Kuna kila sababu Serikali kuanzisha Mamlaka ya usimamizi jiji la Dar es salaam na kuvunja Halmashauri zote zilizopo mkoa wa Dar es salaam. Kinatakiwa chombo kimoja kwa Dar es salaam nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.