Recent content by KARLO MWILAPWA

  1. K

    JamiiForums Tanzania Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

    Waambiwe ukweli, first class aliyopata migiro pale UDSM mpaka Leo hakuna aliyeitikisa isipokuwa Prof. kabudi tu.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Heche: Mwalimu Nyerere angekuwepo, angesikitika kwa Mzee Butiku kuwa Msaidizi wake

    Nikikumbuka ule Uzi ,Lissu aliosema Mwalimu alizoea vya kunyonga na nikimuona Heche akimtaja mwalimu naona anafanya unafiki sana
  3. K

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    2030 ni mwanamke tena na ni Dkt. Asha-Rose Migiro
  4. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa mfano Rais ghafla akapoteza maisha nchi inaongozwaje

    Makamu wa Rais anakuwa Rais kwa sababu mchakato wa kuondoka kwake haujakamilika
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hili ni fumbo kubwa la imani, mpaka sasa Ikulu hawajaandika chochote kwenye website yao, hamna popote Rais amekubali barua aliyotumiwa.

    Kujiuzulu hakutolewi tangazo Wala ufafanuzi, ni maamuzi ya mtu.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Tulia animaliza muda wake na alipoomba tena akakosa kwa kuzidiwa sifa
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kama barua ni ya kweli, Makamu wa Rais awe Dkt. Migiro

    Ikiwa ni kweli kuhusiana na hizi taarifa kuhusu kujiuzulu kwa makamu wa Rais Dkt. Nchimbi, mtu anayefaa kwa uzoefu na uwezo alionao kupewa nafasi hiyo naona Dkt. Migiro, katibu Mkuu wa CCM kwa maslahi mapana ya Taifa.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Nimekumbuka Uzi wa Britannica wenye heading inayosema " barua imeshaandaliwa"
  9. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dr. Mbuyiseni: Inakuwaje Rais wa Tanzania kuketi na wakuu wa nchi za SADC wakati ni zao la uchaguzi usio halali uliosababisha vifo?

    Hiko Chama kisicho na muelekeo huko afrika kusini kinatafuta umaarufu kupitia CCM, CCM hakitoi umaarufu wa hivyo.
  10. K

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Hii amri ya Chalamila natamani Rais Samia akazie ili upigiliwe msumari wa mwisho, Chalamila yupo sahihi apongezwe
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mabasi kuondoka imekuwa kheri: Malori na ICD Wiki jiayo

    Kuna kila sababu Serikali kuanzisha Mamlaka ya usimamizi jiji la Dar es salaam na kuvunja Halmashauri zote zilizopo mkoa wa Dar es salaam. Kinatakiwa chombo kimoja kwa Dar es salaam nzima
  12. K

    JamiiForums Tanzania Aliyepasua kioo cha gari akidai bodaboda amegongwa akamatwa

    Sheria ichukue mkondo wake
Back
Top Bottom