Recent content by KARLO MWILAPWA

  1. K

    PreGE2025 Nayaona haya kwa Tundu Lissu na CHADEMA nikiwa kama 'political strategist'

    Mrejesho wa mtazamo wangu kuhusu andiko hili 1. Ni kweli kila Chama kilishiriki uchaguzi kwa kiwango kikubwa licha ya kwamba vingine vilikuwa vinasumbuliwa na ukata lakini halikuwa tatizo la kutoshiriki. 2.No Reforms no election ulikuwa ni mkakati maalumu wa kususia matokeo na sio uchaguzi na...
  2. K

    Prof. Kabudi ndio awe Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba. Apewe nafasi ya kukamilisha alichoanzisha

    Baada ya mchakato wa katiba mpya kuanza namuona Prof. akitupatia katiba mpya
  3. K

    Chumba kimoja , sebule na choo ndani kipo, maeneo kinyerezi mbuyuni

    Jifunzeni kuweka matangazo ya kueleweka
  4. K

    Ushauri: iitwe Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Pamoja wa Kitaifa

    Maridhiano ya kujenga yanaleta muafaka wa kitaifa
  5. K

    Ushauri: iitwe Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Pamoja wa Kitaifa

    Maridhiano ni makubalino ya kujenga
  6. K

    Ushauri: iitwe Tume ya Maridhiano na Muafaka wa Pamoja wa Kitaifa

    Heri ya Mwaka mpya 2026 kwa kila mmoja, Mungu awe pamoja na kila mmoja kwa mwaka mzima. Katika hotuba ya Mhe.Rais ya kuaga mwaka 2025 na kukaribisha mwaka 2026 alizungymzia suala la kuanzisha TUME YA MARIDHIANO YA KITAIFA mwaka 2026. Niungane na wote waliopongeza hotuba hiyo iliyojaa matumaini...
  7. K

    Mwaka 2025 umeisha tunaingia 2026, Utamkumbuka Samia kwa lipi?

    Mzalendo WA kweli, kiongozi shupavu, misimamo ya kweli na upeo na maono makubwa
  8. K

    Hawa ndo maadui zetu vijana

    Hapo ukiambiwa hueleweki utaanza tantalila kibao
Back
Top Bottom