Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

Utabiri: namuona mwanamke uongozini 2030

2030 kutakuwa ni vita ya kukata na shoka katika nafasi ya urais itakayopelekea wababe kupigana na kuumizana sana na kuchoka mno na kila mmoja kutotamanika wa kutazamika na mwishoni wa vita hiyo nikasikia sauti ikisema awe huyu na alikuwa ni mwanamke na vita ikaisha hapo na Chama kikaingia uchaguzini wakiwa wamoja na mwanamke huyo akashinda kwa kishindo mno".
It’ll take at least 50 years before another woman rises to the top. Fazafaka wa Kizimkazi kaharibu sana credibility ya wanawake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom