Hapana sio busha mkuu. Naiman utakua unazifahamu hizo honi na kiwango cha kelele zake. Otherwise utakua unatania tuu mzee wa kisovieti.[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni namna magari almaarufu kama EICHER yanayofanya kazi katika viunga mbalimbali vya maeneo ya mijini na vijiji. Imekua kero kubwa kutokana na kelele za honi zao ambazo ni kero kutokana na kelele zake pale tuu inavyopigwa.
Nitoe mfano wa hivi majuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.