Mimi ilinitokea tofauti kidogo .
Jamaa alijifanya ni kiongozi wa freemason hivyo anataka kuniunganisha akanitumia form ya kujaza.
Kuna kipengele kinahitaji uweke nude pictures. Nikichofanya nikaenda huko kwenye mitandao nikadowload picha inayoendana na rangi Yangu ya mwili.
Nilivyomtumia akaja na hizo habari za kusema nimtumie hela ili asizisambaze picha zangu.
Nilimwambia nahitaji kuwa mtu maarufu so ukizisambaza lengo langu litatimia.
Hakurudi tena wala sijaona akizisambaza zile nude pictures.
Usawa wenyewe huu jiwe nani atume hela kizembe hivyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app