Recent content by karim mtila

  1. karim mtila

    Kigwangalla: Nilichosema kuhusu chanjo ya COVID-19 sio Usaliti dhidi ya fikra za Magufuli

    Kigwangala wewe ni mtu hatari sana wa kuogopwa zaidi ya ukoma,Ccm hata Upinzani hawapaswi kuwa karibu na wewe. Mtu wa aina yako hapaswi kuwa mwakilishi wa wananchi.2025,jiandae kurudi hospital kuchanja watu Korona
  2. karim mtila

    Siamini kama ni kweli Alhaji Mzee Mwinyi alisahau pale panaitwa Chato

    Alianza kwa kusema siku hizi ni mzee sana,kuna wakati hata jina la Mwanae (Hissein) huwa analisahau. Kwa age yake ya 95+ kawaida sana vitu kama hivyo.Kwa maelezo zaidi waulizee watu wa Psychology watakupa ufafanuzi
  3. karim mtila

    Majina ya wateule awamu ya tano yenye harufu ya ukanda...

    Haya mambo Nyerere alikemea sana.Kitendo cha wewe kukaa na kupekenyua asili ya wateuliwa wote wa Raise na kugundua baadhi ni wa kabila fulani wewe ni mkabila namba moja. Kipimo cha wateule wa Rais ni ufanisi wao katikae kazi.Alimteua PM Mmwera ambae watu hawakimtarajia kabisa,mbona hamjasema...
  4. karim mtila

    Mbinu mpya ya Kujiunga na Bando za Chuo za AIRTEL zenye gharama nafuu

    Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu. Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu. Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo. BOFYA...
  5. karim mtila

    Licha ya Agizo la TCRA,Bei ya mabando imebaki vilevile juu

    Licha ya taarifa ya TCRA kusitisha bei mpya ya mabando bado hali huku mtaani ipo vilevile. Bei zimebaki kuwa zile zile ambazo tulizilalamikia.Nashindwa kuelewa ile taarifa ilikuwa ya kutuliza hali ya hewa au Mitandao imegoma kurudisha mabando ya zamani?. TCRA tunaomba ufafanuzi mwingine please.
  6. karim mtila

    Rais Samia: Tukutane Jumanne baada ya Pasaka kwa uapisho mwingine, hapa hapa Ikulu

    Kama alivosema Madam,awamu hii hakuna kulaza mambo.Juzi wakati anaapisha mawaziri alisema baada ya hodlday siku ya jumanne wenda zoezi la kuapisha viongozi litaendelea. Mizimu yangu imeniambia kundi la viongozi linalofuata kufumuliwa na kusukwa upya ni hili la wakuu wa mikoa na wilaya.Wenda...
  7. karim mtila

    Mzee Mkuchika tangu kipindi cha Nyerere yupo Serikalini mpaka sasa. Ana nini cha ajabu?

    Serikali haiwezi kujaa vijana tupu,hawa wazee wana siri nyingi hawawezi kuenguliwa wote,lazima wabaki wachache kwa ajili ya kurithisha mikoba ndiyo maana mama alisema mzee atakuwa waziri katika kitengo maalumu. Afu jua kuwa mzee mkuchuka ni captain mstaafu wa jeshi,amebeba mambo mengi.
  8. karim mtila

    Mtindo mpya wa trafiki kula rushwa (picha)

    Mkuu maelezo yako hayathibitiki hapo,Ungekuja na video ungeeleweka,hii utaonekana una chuki na kijana huyu anayeonekana kujishughulisha .
  9. karim mtila

    TFF kuweni na busara

    Leo nataka kuizungumzia mamlaka inayosimamia mchezo wa miguu hapa nchini. TFF ya karia kwa hakika imepata mafanikio kadhaa kama vile kushiriki Afcon Senior na junior, CHAN nk.Lakini pia kuboresha soka la wanawake. Doa kubwa ambalo Rais Karia asipoangalia litamletea matatizo ni hii Issue ya...
  10. karim mtila

    ‘Whats Next’ kwa hawa walinzi wa Hayati Magufuli?

    Hao ni maafisa wakubwa ,Na ukiwa askari kazi popote.Mfano huyo kanali Mulunga anaweza kuwa hata mkuu wa kikosi au akapandishwa cheo kuwa brigedia. Jiulize kabla ya Rais Magufuli walikuwa wapi na walikuwa wanafanya nn?. Kitu pekee watamiss ni ile misafara but scale yao iko vile vile na inaweza...
  11. karim mtila

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kwa hiyo TANAPA wanalipwa vzr kuliko wabunge?
  12. karim mtila

    Dkt. Mwigulu alipewaje uwaziri wa fedha? Mtu ana skendo mbaya na rekodi mbaya

    Mwigulu ni mbobezi wa masuala ya uchumi,Mama ulimsikia siku ile . Afu mjomba,nchi hii huwezi pata mtu safi completely,anaangaliwa mwenye unafuu.Mwigulu aliwahi kuwa naibu waziri kwenye hiyo wizara enzi za JK,alifit vzr. Ki utendaji mwigulu yupo pouwa,kinachompoza ni kujibizana hovyo na watu...
  13. karim mtila

    Kabla Rais hajakuteua, ni lazima upate taarifa mapema?

    Ok jiulize, kama angekuwa newyork siku ile jina lake linatajwa ,unadhani angewahi uhapisho?.Thats why nasema baadhi huwa wanapewa taarifa mapema,kama yeye siku anatajwa tyr alikuwa amewasili Dodoma.
  14. karim mtila

    Kabla Rais hajakuteua, ni lazima upate taarifa mapema?

    Kwa zile nafasi kubwa kubwa hata kama hujaambiwa but kuna mazingira unyaona unaweza kuguess kitu. Kama vile PM,VP baadhi huwa wana taarifa before.Hata mawaziri na wakuu wa mikoa baadhi huwa wanapewa ronja. Kama ile Issue ya mpango,ni mchakato ulitembea pale ndani ya CCM,so hata baadhi ya...
Back
Top Bottom