Haya mabasi bwana yanatoka spidi sana nyegezi stendi kana kwamba hakuna magari mengine yanayotumia hiyo barabara,na huwa wanashindana kufika pale mzani usagara huyu dereva nina uhakika angekua na spidi ya kawaida(50) alikua na uwezo wa kumkwepa bodaboda,hii nimeliona wiki jana mabasi yanatoka...
Buhongwa sek iko wilaya ya nyamagana iko njia ya kwenda shinyanga ukitokea mjini,ni kilomita 15 tu kutoka mza mjini shule iko 0.5km kutoka barabara ya iendayo shinyanga,iko karibu na soko na buhongwa ambapo utapata kila aina ya vyakula na mbogamboga kwa bei ya wakulima kabisa,kwa kifupi...
Nenda buhongwa baada ya olympic sheli kuna sheli tatu zinajengwa,ukikosa hapo nenda pale nyashishi mbele kidogo baada ya kupita nyashishi pia kunae sheli inajengwa.Note:nyashishi ni misungwi maana umetaja ilemela na nyamagana tu.
Ninaomba msaada nina printer yangu tajwa nikiprint inatoa kazi chafu sana karatasi yote,tatizo linaweza kuwa lini wakuu? ninaomba msaada wa haraka niko na wateja hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.