Ila ukweli wanaume katika jambo hili tumeanguka sana na lina changia kukwamisha maendeleo yetu , na jinsi wanawake walivyo, ukimhudumia yeye wala hataangaika na mambo yako ya msingi kimaemdeleo , yeye atajali kupewa huduma basi
Mshana ,Upewe u Doctor , mambo uliyo andika ni mambo mazito mno na ndio chanzo cha maadili kuporomoka pia ni chanzo cha umasikini na watoto kukosa malezi bora pia jamii kwa ujumla kuwa varaganti,
Tatizo lako wewe ni rahisi sana lakinilinahitaji utulivu sana wa hali ya juu,
Kutokana na maelezo yako na chanzo cha tatizo ambalo linakusumbua hivi sasa dawa yakeiliurudi kwenye haliya kawaida niku SAMEHE , MSAMEHE ALIYEKUTENDA, msamehe kabisa ona kama haja fanya makusudi kukutenda nibahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.