Ofisi usipoipenda, unafanyaje?

Ofisi usipoipenda, unafanyaje?

Kwani unafanya kazi Bure?, kwanini na wewe usinunue?, kwanini upende vya kupewa?, kwanini ukaribishwe?, kwanini unaanza kuwa na roho ya wivu Kwa vitu vidogo?, kwanini umeendekeza uroho?, kwanini huridhiki?, kwanini unatamani vya watu viwe vyako?, kwanini usiache kazi Ili ule hizo bites ukiwa peke yako?, kwanini huna adabu?, Kwanini lakini....
 
Deeply sijawahi furahia ofisi nilopangiwa tangu nimeanza kazi ofisini tuko wawili tu,lakini dah Yani nilienae ofisini akibeba msosi anakula peke ake Wala karibu Hamna,

Ata bites anakula mwenyewe Hadi anamaliza actually sijawahi ifurahia ofisi yeye ni mkubwa mimi kama mdogo ake tumepishana kama 5 years,Kuna mda akininua kitu natamani kama hatoke mule ofisini akale huko amalize ndipo harudi ofisini lakini haiwezekani!!!
Wewe inaonekana ukipata Boda boda tu wa kukuwekea bili ya elfu tatu t7 kwa siku tayari unakuwa single maza soon.
 
Deeply sijawahi furahia ofisi nilopangiwa tangu nimeanza kazi ofisini tuko wawili tu,lakini dah Yani nilienae ofisini akibeba msosi anakula peke ake Wala karibu Hamna,

Ata bites anakula mwenyewe Hadi anamaliza actually sijawahi ifurahia ofisi yeye ni mkubwa mimi kama mdogo ake tumepishana kama 5 years,Kuna mda akininua kitu natamani kama hatoke mule ofisini akale huko amalize ndipo harudi ofisini lakini haiwezekani!!!
Si ununue vya kwako. Hata mimi nisingekupa.
 
Deeply sijawahi furahia ofisi nilopangiwa tangu nimeanza kazi ofisini tuko wawili tu,lakini dah Yani nilienae ofisini akibeba msosi anakula peke ake Wala karibu Hamna,

Ata bites anakula mwenyewe Hadi anamaliza actually sijawahi ifurahia ofisi yeye ni mkubwa mimi kama mdogo ake tumepishana kama 5 years,Kuna mda akininua kitu natamani kama hatoke mule ofisini akale huko amalize ndipo harudi ofisini lakini haiwezekani!!!
Na wewe si ununue vyako makasiriko ya nini 😁😁
 
Deeply sijawahi furahia ofisi nilopangiwa tangu nimeanza kazi ofisini tuko wawili tu,lakini dah Yani nilienae ofisini akibeba msosi anakula peke ake Wala karibu Hamna,

Ata bites anakula mwenyewe Hadi anamaliza actually sijawahi ifurahia ofisi yeye ni mkubwa mimi kama mdogo ake tumepishana kama 5 years,Kuna mda akininua kitu natamani kama hatoke mule ofisini akale huko amalize ndipo harudi ofisini lakini haiwezekani!!!
Kazi umepataje kwa uandishi huu?
 
kweli bongo nyoso tena balaa,
unaeza zaliwa mzungu ila ndo ivo mzungu kichaa. yani unamind mambo madogo namna hiyo!!? fanya kazi kwa bidii uringe na chako, chamtu nnya.
 
Deeply sijawahi furahia ofisi nilopangiwa tangu nimeanza kazi ofisini tuko wawili tu,lakini dah Yani nilienae ofisini akibeba msosi anakula peke ake Wala karibu Hamna,

Ata bites anakula mwenyewe Hadi anamaliza actually sijawahi ifurahia ofisi yeye ni mkubwa mimi kama mdogo ake tumepishana kama 5 years,Kuna mda akininua kitu natamani kama hatoke mule ofisini akale huko amalize ndipo harudi ofisini lakini haiwezekani!!!
Kama hii ndio sababu yako basi wewe utakuwa mchawi baada ya muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom