Recent content by KARAMAG

  1. K

    Nape Nnauye ampiga katibu wa CHADEMA mkoa wa Singida

    KATIBU wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM), Itikadi na Uenezi Nape Nauye,pamoja na katibu mwenezi wa Chama hicho mkoa wa Singida Musa Sima wanadaiwa kuwaongoza vijana wa ulinzi wa chama hicho green guard kumpiga katibu wa Chadema mkoani humo Patrick Msuta. Katika kipigo hicho Nape...
  2. K

    Jerry Silaa kubambikizwa kesi ya mauaji jengo la ghorofa lililoanguka

    MKAKATI WA POLISI KUMFUNGA MEYA SLAA WAVUJA. NGUVU ya Hawa Ghasia, waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu na tamaa yake ya ulaji wa fedha za halmashauri sasa umevuka mipaka na kuingia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Mkuu wa Serikali (DDP), Eliezer Fereshi na jeshi la polisi. Kupitia viongozi hao wa...
  3. K

    Chitanda ajiunga na CCM

    Swahiba wa Zitto atimkia CCM Wednesday, January 22 2014, 7 : 59 ALIYEKUWA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ambaye hivi karibuni alitangaza kuachia wadhifa huo, Ali Chitanda...
  4. K

    Bulembo atoa amri halali kusaidia kuangamiza CHADEMA

    Hali ya kifedha ndani ya Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi ni tete, Mwenyekiti wa Jumuiya Hiyo Abdala Bulembo ameagiza kila Mwanafunzi anayesoma katika shule zinazomilikiwa na jumuiya hiyo achangie shilingi laki moja akishindwa ajiondoe, lengo la pesa ni kusaidia mfuko wa kuishughulikia...
  5. K

    vijana 60 wa vyuo vikuu mkoani Morogoro waikacha Chadema na kujiunga na CCM

    Propaganda za CCM, Pesa za Abood, Pesa za Mwigulu, na ukuwadi wa Nyakarungu kupata vijana 60 ambao bado hawajajitambua sio kazi sana. Wanakula CCM watalala CHADEMA, Ongezeni dau mtapa wengi zaidi.
  6. K

    Wasifu wa GRAYSON NYAKARUNGU...

    Wasaliti kumbe huwa hawana aibu, wanajipanga kupiga picha baada ya vikao vyao hotelini. Dk. Mkumbo Chadema ikisambaratika kwa sababu ya u*ji*nga* wako wa kumuandaa Zitto kinyume na matakwa utalaaniwa sana. Hatujawahi hata kukuona unapigwa bomu moja katika kupigania chama, hesabu watu waliokufa...
  7. K

    Mchungaji Peter Msigwa awadhihaki Zitto, Kitila na Mwigamba. Muendelezo wa majungu

    Kura za Kigoma zitapatikana, za Singida hivyo hivyo, mara Tabora na Tanga, ila tuwaambie ukweli Zitto na Kitila wamechemsha. Kuunda waraka wa kupindua uongozi, tena kwa matusi ya nguoni, kisha kuja kukiri mbele ya watu kuwa Dk Kitila ndio aliandaa, lakini ili kukiri akashirikiana na CCM kuandaa...
  8. K

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    kuna hoja, ingawa mleta uzi unaonekana umekurupuka ulikuwa umelala, baada ya kuota kuwa masalia haya yanachezea akili za watanzania ukaamua kuwahi. Kitila amejivika mabomu kumlinda zitto. Kitila aliyetaka kufukuzwa chuoni kwa kuwa amekuwa mwanasiasa wa upinzani, leo amepandishwa cheo ingwa...
  9. K

    Denti anayedaiwa kubakwa na Kapuya huyu hapa

    global wanafanya utani na maisha ya watu, wanahoji maswali elekezi kwa huyu dada kukwepa ukweli, watanzania tunaelekea wapi na kwanini? Kwanza kumwonyesha mtu ambaye anatafutwa auawe, akiuonekana akauawa mtakuwa mmechangia.
  10. K

    Ukweli kuhusu Zitto kabwe kuitwa polisi makao makuu kutoa maelezo

    Ni taifa ambalo Mbunge akinukuliwa na gazeti kuwa ametishiwa kuuawa Polisi hufungua jalada la Uchunguzi, lakini msichana akinukuliwa kubakwa Polisi wanasema ni tatizo binafsi, halijaripotiwa, vituo vya polisi vipo wazi masaa 24.
  11. K

    Ukweli kuhusu CCM kumbeba Kapuya dhida ya Ubakaji alioufanya, huu hapa...

    Maelezo haya yanaumiza kwa kila mtu mwenye ubinadamu, kasoro kwa hao ambao wanamlinda. No Justice in Tanzania may be. Hata tume ya haki na utawala bora haioni hili? yaani mpaka watoto hawa watoke mafichoni ndio watanzania waelewe kiasi cha uhalifu waliotendewa? Shame on those who hide this truth.
  12. K

    Madiwani Chadema walipuana.

    Shonza wakati unafukuzwa Chadema ulituhumiwa na kundi lako akiwemo Chagulani kuwa ninyi ndio wasaliti wa Chadema. Chagulani anajulikana kwa michezo yake michafu na Meya feki wa CCM anayejiita Chadema - Matata. Shonza mnafahamika mlivyoingizwa kwenye chama chetu (CCM ) mkaanza kutumika kuchafua...
  13. K

    Pendekezo: Dkt Kitila Mkumbo awe mrithi wa Dkt Slaa

    Katika Pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii, umejibishana na mtu kwenye facebook, unakiri kuwa umeajiriwa na Dk Kitila Mkumbo ili umsaidie siasa za kwenye Mitandao, na kujaribu kuchafua watu wengine. Simu moja umetuwekea humu kuwa Viongozi wa kanda ya Kati wote mazuzu isipokuwa Dk Kitila...
  14. K

    Ngeleja tishio jipya kwa Urais wa Lowassa

    Urais ni Taasisi au kichwa kimoja cha mtu?
  15. K

    Ngeleja tishio jipya kwa Urais wa Lowassa

    Watanzania tuna kasoro, Mtu hajajitokeza yeye kusema anataka Urais, tumeambiwa watu wana mwandaa, tunakimbilia kumshambulia yeye kutokana ana utendaji wake akiwa Waziri. Haki ya kugombea ni haki ya kila Mtanzania, tuheshimu Uhuru na Mawazo ya watu wengine, tunatumia vibaya uhuru wetu kuwadhania...
Back
Top Bottom