Recent content by Kaputeni

  1. K

    Kazi na dawa

    It's simple. Ukila chakula lazima uvimbiwe? au hata kushiba? Uongo, umbea, usengenyaji nk hunatokana na kusema au kuzungumza. Kwa hiyo kusema au kuzungumza ni dhambi? Hivyo tusiseme wala kuzungumza? Watenda maasi wawe wamelewa au hawajalewa, ( majambazi, waizi, wauaji, waasherati, wazinzi and...
  2. K

    Kazi na dawa

    Na wewe pamoja na mwanao ni waasherati/wadhinifu. So sishangai!!!
  3. K

    Kazi na dawa

    Hilo suala la imani ya mwenzako kuiita ujinga ndipo penye tatizo. Mimi haikua suala kutetea. Ilikuwa kufahamisha ya kuwa kwa imani RC pombe sio tatizo kama wengi wetu humu tunavyofikiri. Kama ni ujinga sio ujinga mimi simo cha msingi ni kuheshi imani ya mwenzako. Kwa sababu kama ni ujinga na...
  4. K

    Kazi na dawa

    Umeshasema madhehebu mengine. Labda hayo kwao ni haramu, sisi kwetu si haram. Mbona tunaona madhehebu nyingine zikianza mfungo wa ramadhani na kufungua tofauti na madhehebu nyingine ya dini hiyo hiyo? Wewe kama imani yako haikuruhusu kitu fulani kaa ni imani yako. Na mimi niache nikae na imani...
  5. K

    Kazi na dawa

    Hata kama mweka picha alikuwa na ajenda hasi, hilo halina madhara yoyote ya kiimani kwa sisi RC. Kama ni haramu huko kwenu. Sisi kama kwa upande wa nguruwe bia na vileo vingine halali sio jambo la kificho. Hizi ni tofauti za kiimani. Wengine kuoa wake wengi ruksa wengine wao ruksa ni mke mmoja...
  6. K

    Kazi na dawa

    Kama mnashangaa, sisi ni suala la kawaida. Nenda kwenye paroko zetu hivi vitu vinapatika. Cha kuzingatia ni kiasi
  7. K

    Kazi na dawa

    Hakuna dini ya kipagani
  8. K

    Kazi na dawa

    Wala haichafui hali ya hewa. Kwa imani yao hicho ni kiburudisho kama kiburudisho kingine, wala usifikiri picha hiyo inawaumbua. Ni kama dini nyingine kitoweo cha nguruwe ni haramu lakini kwa dini nyingine halali
  9. K

    Kazi na dawa

    Usanii wa dini uko wapi? Kama vitabu vya dini vimesema wizi si jambo sahihi akatokea mtu au watu wakaiba utasema dini ni usanii
  10. K

    Trump promised a wall where as Magufuli is building a wall!

    Achana nae atakuumiza kichwa bure. Elimu inaibua fulsa zilizopo kwenye bongo zetu. Elimu haikupaswa kutolewa kwa kila mtu. Unategemea nini kama chizi akijiendeleza au kuendelezwa kielimu?
  11. K

    Trump promised a wall where as Magufuli is building a wall!

    Kama ni hivyo wajinga ni wengi tu. Kwani hata ww kama una nyumba na wote wenye nyumba ni wajinga kwani mmejenga kuta (nyumba) na magrill kujilinda pamoja na mali zenu? Na hata madaraja yakisha wapeleka wezi jela, mbona kumejengwa kuta? Poor IQ
  12. K

    Nairobi Hospital: Hatujapokea fedha zozote kutoka Bunge la Tanzania

    Jamani!!! Kazz kweli kweli. Mtoa taarifa kaweka wazi kwamba kama pesa zimetumwa tar. 20 pesa inategema iwe imefika kwenye a/c za hsp. ndani ya masaa 48 ambayo mwisho wake ni J3. Huko kuumbuka kumetokea wapi!?!?
  13. K

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Kwa sababu kuna shirika la Madakitari wa Marekani lililojitolea kugharamia matibabu yao. Hakuna sheria inayolazimisha Mtanzania kutibiwa Muhimbili. Ndio maana hata Lissu kaenda Nairobi bila kipangamizi baada ya chama chake na familia kuamua hivyo. Hata hivyo watoto wale wasingepata wafadhili...
Back
Top Bottom