Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?
Vidole havilingani. Acha mawazo mgando
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?

Ujinga gani huo?walisema wameona risasi tano hizo nyingine nane ingekuwaje?
 
Hope you are up on your mind!!!! Jamani tusiandike tuu kwa kuwa tunajua kuandika, If thai is what your heart speaks, it is fine. Nikuulize, wale wanafunzi wa Lucky Vicent ya Arusha, mbona walipelekwa Marekani wasitibiwe MUHIMBILI?
Kwa sababu kuna shirika la Madakitari wa Marekani lililojitolea kugharamia matibabu yao. Hakuna sheria inayolazimisha Mtanzania kutibiwa Muhimbili. Ndio maana hata Lissu kaenda Nairobi bila kipangamizi baada ya chama chake na familia kuamua hivyo. Hata hivyo watoto wale wasingepata wafadhili familia zao ndio zingebeba gharama za matibabu yao iwe hapa nchini au nje ya nchi. Kitu ambacho tunajitoa ufahamu ni kutotaka kukubali kuwa mkataba alionao Lissu ( na wabunge wote) kupitia bima yao ndio uliobainisha hospitari ambazo wabunge wanatakiwa kutibiwa. Chama na familia ya Lissu kwa sababu walizoziweka wazi wameamua kugharamia matibabu ya Lissu wao wenyewe nje ya utaratibu wa Bunge. (Tunataka Bunge lifanye nini juu ya hili?)
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?
Mej Gen Mstaafu mlisema mnampeleka South Africa kwa Matibabu zaidi....
 
Hoja iliyopo mezani ni huyu mtoa post kudhani kwamba kama Nyalandu atanyakuliwa kutokana na makando kando yake pale maliasili (kama yapo) yeye anatuaminisha kwamba itakuwa ni kwa sababu ameonesha ukaribu na Lisu kwa kutaka kumsafirisha Lisu kwenda kupata matibabu, Hili sikubaliani nalo na ni mawazo mufilisi, kwanza hata huyo Lisu akisikia Nyalandu anachunguzwa kama kweli ni mzalendo ataipongeza serikali kwa kuwa wao ndio walikuwa wanapiga kelele kuhusu wizara hiyo wakati wa Nyalandu,au mnasahau sauti walizopaza kwamba twiga kapanda ndege? soma post yangu kwa makini utaelewa argument yangu, usilete ushabiki,siko kisiasa mkuu

Mkuu hili la wizi wa Nyalandu liko wazi toka muda mrefu, ili limeibuliwa sasa kwa chuki za kisiasa baada ya yeye kwenda kumtembelea Lissu na kutoa maoni yaliyowakera wanaccm. Leo hii kuna viongozi wengi wa ccm wenye kashfa, ccm imewanyamazia kwa sababu tu hakuna anayekosoa wanachotaka kusikia. Hivyo kama kweli kuna nia ya kumchunguza Nyalandu timing ni mbovu na iko nyuma ya siasa za chuki na kutishana.
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?
Swali zuri sana mkuu, ila Lissu anatumika na wanasiasa akiwemo na uyu Nyalandu mkuu.

Nyalandu hana tofauti na Harmorapa kabisa.
 
Hope you are up on your mind!!!! Jamani tusiandike tuu kwa kuwa tunajua kuandika, If thai is what your heart speaks, it is fine. Nikuulize, wale wanafunzi wa Lucky Vicent ya Arusha, mbona walipelekwa Marekani wasitibiwe MUHIMBILI?
Wacha hiyo, mbona hata tizi dume tulipeleka US na Muhimbili ipo!!!
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?
Kwani huyu Meja bado anatibiwa Lugalo?
 
Kwani we hujui kama lissu kapigwa risasi mkononi miguuni na tumboni? Nyalandu katoa taarifa gani ya mgonjwa ambayo hata ww imekushtua?kasema lissu anaumwa tezi dume? Nyalandu yuko sahihi kabisa kwa hilo na unajua vipi kua hajaongea na familia?maana umesema hajui mambo ya kidaktar saivi wasema hajaongea na familia katoka tu na kiherehere chake na kuongea maneno duuuh ebu km una chuki nae kwny maswala mengine nakuomba uziweke pembeni kwnye hili swala mr

Umemuelewa vyema aliloliongea??Hebu rudi umsome vizuri ndipo utanielewa
 
Madaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?


Tulia tuli kama kile kinyago pale...............
 
Tumekuwa Nairobi Hospital tukisubiri madaktari watoe ripoti ya mwenendo wa matibabu ya Mh Tundu Lissu kwa minajili ya kuwapatia madaktari bingwa wa Marekani na kuona uwezekano wa Mh. Tundu Lissu kupatiwa rufaakwa matibabu zaidi NJE.

Lakini bado kalamu zao ni nzito kuandika ripoti hii siku ya tatu tangu tuahidiwe.

Binafsi, nimerudi Nairobi tangu jana kushiriki maandalizi ya uwezekano wa kumhamishia Mh Tundu Lissu Marekani kwa ajili ya huduma yenye ubora zaidi, endapo MADAKTARI wa Nairobi Hospital wangeridhia.

Kesho asubuhi nitarejea hospitalini kusikiliza kauli ya mwisho ya MADAKTARI kuhusu RIPOTI hiyo.

21ab3840ff74075e15053d40dc45b0a1.jpg
Mungu azidi kumpigania
 
e424cb6b11595efc53f8b96e093a120d.jpg

Tumekua Nairobi na siyo nmekua
Tumesubiria na siyo nimesubiria
So mbn kiherehere hakipo hapo au wingi ndo kiherehere?

Hivi alimuuliza Daktari kwanini anasita kuandika report badala ya kukimbilia kwenye media??Unafikiri ndugu wa Lissu wote watakuwa na uelewa sawa au watafikiri walioko huko wanataka kuua ndugu yao??

Mkuu siyo kila kitu kinatakiwa kiandikwe kwenye media mengine yanatakiwa kuishia wanapojadiliana kama watanzania walioko alipo Mgonjwa,mengine nitayaterm kama anatafuta kick.
 
Mh. Nyarandu kuna manyang'au flani yanasema eti unatafuta kiki. sasa ninawashangaa sana kiki kwa Lissu. Kwa kweli unafanya vizuri sana ipo siku watu watakumbuka juhudi zako. Tusonge mbele zote!!
 
Nyalandu ni mtu smart sana, ameonyesha kuguswa na kujitoa, kwanza kamaa mp wa ccm kwenda Nairobi inaonyesha ni jinsi gani amekomaa kisiasa,Mungu aendelee kumsaidia ili aweze kufanikisha jitihada zake za kuangalia uwezekanao wa kupata matibabu zaidi USA
[HASHTAG]#pray4lissu[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom