Recent content by kapsoya

  1. K

    DHL Tanzania

    Asante.
  2. K

    UTAPELI: Kampuni ya D9 (DNINE) ni kina nani? Nani kawapa kibali cha kazi Tanzania?

    Mbona Nime google Nimeona ni mambo Ya sports betting.
  3. K

    Hongera Maulid Kitenge

    Yes hata mm nimewaza nikasema vipi huyu hakufundishwa au nn.
  4. K

    Mume ampa talaka 3 mkewe na kaamua kumsweka ndani

    Kwa nn lkn wanawake Wengine Wako hivo jmani,mtoto,malaika wa Mungu. Jmani Thambi izo pili unafukuza Baraka.
  5. K

    Mume ampa talaka 3 mkewe na kaamua kumsweka ndani

    Mkewe kwa nn udanganye jmani tena akae huko kbs. Sipendi Kweli wanawake wenye roho mbaya.
  6. K

    Wanawake wenzangu njooni tuwatete huku hawa viumbe, Funguka kuhusu Maudhi ya mume

    Weeeeeeee usithubutu utakua, nina Rafiki yangu kipenzi alifanya hivyo Weeeeeeee ilipoisha tu anaingiza mwingine Sema Shoga yangu Alikua akiifathi receipts so kesi iko mahakamani,kashinda kesi nyumba inauzwa apewe Chake,
  7. K

    Wanawake wenzangu njooni tuwatete huku hawa viumbe, Funguka kuhusu Maudhi ya mume

    Pole my dear,kumbuka ur happiness comes first b4 anything else.
  8. K

    Je? Ushasumbuka kutafuta kazi (H2i)ndyo jibu lako

    Asante, nimeshindwa kuelewa wanawasaidiaje au ndio mpaka uchangie tena.
  9. K

    Matumizi ya kokwa za embe kubana uke

    Nilitaka niulize naona umeniwai.
  10. K

    Mapenzi haya! Nimeenda kwetu kujifungua kurudi namkuta na mwanamke mwingine

    My dear kubali,samehe,watoto hawana kosa hao ni malaika,ila asikuleteee ulee,yeye sikajifanya kidume sasa aonyeshe uanaume wake kulea familia mbili.
  11. K

    Mapenzi haya! Nimeenda kwetu kujifungua kurudi namkuta na mwanamke mwingine

    Mhhh mkuu kweli mbele za Mungu ni haki kweli,(uvumilivu gani huo)nooo.zaa a hukohuko kaa na kizazi chako cha zinaa.
Back
Top Bottom