Asante, nimeshindwa kuelewa wanawasaidiaje au ndio mpaka uchangie tena.Acheni wizi. Hizo zawadi mnazotoa kama mtu akijiunga sijui laptop, gari na madudu mengine kwanini msibadilishe zikawa fedha taslim mkasaidie hao watoto yatima?
Asante, nimeshindwa kuelewa wanawasaidiaje au ndio mpaka uchangie tena.Acheni wizi. Hizo zawadi mnazotoa kama mtu akijiunga sijui laptop, gari na madudu mengine kwanini msibadilishe zikawa fedha taslim mkasaidie hao watoto yatima?
Ukihitaji kuijua zaid nitafute whatsap kwa hyo noAsante, nimeshindwa kuelewa wanawasaidiaje au ndio mpaka uchangie tena.
Ni nzuri kupitia hawa nakula pesa ndogo ndogo kila nikimuunga baloz mpya sema watanzania kila kitu tunapingaWaongo hawa kuna nyingine nayo Ilikuwa arusha tabia zao ni hizi hizi za shilingi 90000
Sasa mkuu huwez kutupa pesa hiyo unakuwa kama umewekeza ambapo hautakuja kupokea hyo 90 tena yani hyo itakupelekea ukatimiza ndoto zako na ucjekuamini kama ni wewe umepata mafanikio kutokana na H2i90000 = bia 36. Bora nikakeshe bar natandika masanga kuliko kutupa hiyo 90 elfu.
Ukishachangia hyo 90hapo ndo utakuwa baloz wa milele kaz yako ni kuwashirikisha wengine wajiunge nawao watoe hyo 90 inamaana kwamba kadiri tunavyozidi kushirikisha watu wanajiunga hapo tunaitangaza kampuni izidi kujulikana jinsi inavyotoa huduma na kuweza kuwafikia wahitaji ktk jamii zetu waweze kupewa misaada kupitia ww baloz wa H2i.Nimekusoma! Sasa kwa kuleta watu wajiunge kutoa hizo 90,000/= ndo helping hand yenyewe? Sijaelewa
Mkuu fursa si ndyo hii unataka ipi H2i ndyo jibu lako fanya tafiti ichunguze ujiunge la cvyo utaendelea kutafuta kaz na usipate kumbe kaz ipo unaiachia mikononi mwakoWakuu habari za jioni..Ni kijana nimemaliza chuo level ya degree ya maendeleo vijijini natafuta kazi yoyote sichagui ata ya ulinzi kwani nina cheti cha JKT naomba anayeweza kunisaidia hiyo fursa ani pm na pia habari ya mshahara sichagui ili mradi chochote ili niweze kuishi maana maji yamefika shingoni
Nimeipenda fursa hii mkuu sema tatizo 90 hiyo kwangu ni shida labda nijiunge alaf nikiwaunga watu ndio wanikate humo humo au wanitumie ata zawad niifanyie biashara then nikipata nijiunge ila kwa hali yangu saivi 90 parefu mnoMkuu fursa si ndyo hii unataka ipi H2i ndyo jibu lako fanya tafiti ichunguze ujiunge la cvyo utaendelea kutafuta kaz na usipate kumbe kaz ipo unaiachia mikononi mwako
Weka malengo kama vp ntafute wasapNimeipenda fursa hii mkuu sema tatizo 90 hiyo kwangu ni shida labda nijiunge alaf nikiwaunga watu ndio wanikate humo humo au wanitumie ata zawad niifanyie biashara then nikipata nijiunge ila kwa hali yangu saivi 90 parefu mno
sawa mkuu nitakuchekWeka malengo kama vp ntafute wasap
Utaishia kusema hvohvo mkuuTapeli wewe