Saaaafiiii!
Hakuna aliyewalazimisha kusoma michepuo ya PBC, CBG, PCM na mingineyo, hayo yalikuwa ni mapenzi yao. Ina maana yawakujua kuwa kazi ya udaktari is risky? Huu ni utani, by virtue of profession, udaktari is risky, udereva, risky, ulinzi risky kufa anytime, polisi, jeshi, kulima ndo...