Ni kweli km JAMAA yupo vizuri unaweza kupata aibu ukiwa na boxer, maana utashangaa kitu kimechomoza tu. Lakini kama umepiga chupi, unampindisha tu kwa pembeni anatulia. Zamani kulikuwa na chupi zile VIPI,zilikuwa zinasaidia.....
Acha kuamini story za mtaani eti udom ni mteremko. Waulize wanaosoma hapo udom! na ndyo maana kwa mwaka huu kitaifa kimekuwa chuo cha pili kwa ubora hapa TANZANIA baada ya UDSM. Put it in your mind,kwa hali ya sasa inavyoendelea hapo chuoni,ndani ya miaka si mingi UDOM itakuwa the first hapa Tz...
Je umeisoma hiyo taarifa ambayo BBC wameelezea kwa ufupi kuhusu Jerusalem na historia ya hizi dini,uyahudi, ukristo na uislam? Kama utakuwa umesoma na fikra zako ukaziweka huru utakuwa umepata hata kamwanga kidogo au kama unaona uvivu kusoma na ukabaki na misimamo au mawazo uliyofundishwa au...
Acha kukariri, fanya simple survey upate uhalisia wa UDOM na selection ya mwaka huu. Kweli UDOM ni kikubwa na kinahitaji watu lkn kimezingatia vigezo ndyo maana hata wenye division one wamepigwa chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.