Mm nawaza tu....... kwanini Mtuhumiwa alikuwa anafichwa sura? Inawezekana pakawa na mshitakiwa hewa , mhukumiwa hewa na pasiwe hata atakayetumikia kifungo hicho.....Mtuhumiwa huyu alikuwa na nn spesho cha kufichwa sura ambacho watuhumiwa wengine wa mauaji hawana? Imani ndogo sana kwenye mwenendo...
Ukinyoa pasipo yeye kuona anahisi umenyolewa na mwanamke mwingine. ..Kukufuta na leso yake bila shaka ndo nguo maalumu aliyoiandaa ....Kwa uzoefu wangu mdogo ni hivyo sidhani kama kuna ushirikina mkuu
Mimi si Msabato lakini maumbile yetu yanatosha kutuambia baadhi ya mambo......je pombe si kichocheo cha dhambi?Pombe ni sumu kubwa na ni chanzo cha magonjwa kama kansa ikitumika kupita kiasi..
Sipo kumtetea ndodi isipokuwa tusiwe vipofu kwa kutetea maovu....Pombe haifai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.