Recent content by kanyun

  1. K

    Joseph Musukuma: DED Geita atafuna mamilioni ya shilingi ujenzi wa vyumba vya madarasa

    Huyu DED ni mmoja wa wakurugenzi smart anajua nini anachokifanya Msukuma ye apige siasa tuuu kama alivyozoea kuchongea watendaji kwa mamlaka za uteuzi....Kama mko makini mtakumbuka ishu ya Mkurugenzi mmoja hivi hapo geita Msukuma alimshutumu kwamba amenunua li VX bila kufata taratibu....jamaaa...
  2. K

    Kicheko cha Shahidi wa 12 wa Jamhuri Luteni Denis Urio Mahakamani kina maana gani?

    Shahidi yuko fresh,anasikitika tuu kuona homeboy wake anaenda kufungwa
  3. K

    Kuolewa na mwanajeshi

    Mwisho wa siku wewe ndo mwolewaji na umeshamua iwe hivyo sasa unalileta huku iweje mana mpaka mnafika hapo mmeshazini vya kutosha...ila hao jamaa wana instict za ukicheche balaaa...na wewe ukiwa kicheche jiandae mikanda ya kutosha tuuu...na adhabu za hapa na pale
  4. K

    Kozi Ya Irrigation And Water Resources Engineering

    Sio wote wanasiasa humu...wengine ni wanataaluma mbalimbali kwa hyo usimzuie kijana kupata mawazo ya watu wenye nia njema....
  5. K

    GE2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

    Utakipata utakachosubiria....wazee wa kazi wananjaaaa na hzo ngoko
  6. K

    GE2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

    Haisaidiii kitu...hatopata jibu mpaka uchaguzi uishe....umeshaambiwa ukishapiga kura nenda kalale nyimbani kwako....unataka nn sasa.???sheria sheria sheria...babake nani.????
  7. K

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Kwanza...ulipokuwa unaandaa mazingira ya uzinzi ulimuuliza mtu humu jf???eti unawapeleka watoto kwa bibi yao??shenzi kabisa ndo mijanamke yakisasa hii... Muulize kwanza mmeo uone atakupa ushauri gani...then rudi hapa jamvini ulete mrejesho then ndo ntakupa majibu sasa..
  8. K

    Gharama walizotumia CCM kuwalipa Wanamuziki

    Siasa za maji taka.....hakuna lolote hapo...wee umekaaa chumbani kwako ukatengeneza hiyo paylist....mmeishiwa sera mzeee.....huyo aliyepiga picha hiyo paylist aliipiga huku amening'inizwa kitanzani mbna haionekani kwa ukamilifu wake....madocument yakufoji hayo.....tafuteni lengine hilo...
  9. K

    Upumzike pema peponi (Maria)

    ushiboy Ongera kwa mawazo mazuri
  10. K

    Mtoto wa mama wa kambo ananitega

    Muulize kwanza mama yake na huyo binti halafu....jibu atakalokupa lolote hapa jamvini sawa....
  11. K

    Peramiho hawataki upuuzi kabisa

    Ninakuhakikishia jenista mhagama anapita kwa kura nyingi tena saa4 asbh....mnatengeneza picha halafu mnasema watu wamechoka...acheni hzoooo........mtaisoma namba
  12. K

    Peramiho hawataki upuuzi kabisa

    Hamna kitu ukawa wanajitekenya wenyewe na kucheka
  13. K

    Peramiho hawataki upuuzi kabisa

    Mwaka huuu mtatengeneza sana story ila ..........................hapa kazi tuuu......
Back
Top Bottom