Peramiho hawataki upuuzi kabisa

Peramiho hawataki upuuzi kabisa

Mwaka huuu mtatengeneza sana story ila ..........................hapa kazi tuuu......

Hamna kitu ukawa wanajitekenya wenyewe na kucheka

Maneno yenu ya kipashkuna na kishankupe ndio yanavyozidi kukiteketeza chama kwakuwa hata kwenye ukweli mnashindwa kukiri na kubaki na mipasho.
 
Maneno yenu ya kipashkuna na kishankupe ndio yanavyozidi kukiteketeza chama kwakuwa hata kwenye ukweli mnashindwa kukiri na kubaki na mipasho.

Ninakuhakikishia jenista mhagama anapita kwa kura nyingi tena saa4 asbh....mnatengeneza picha halafu mnasema watu wamechoka...acheni hzoooo........mtaisoma namba
 
Ninakuhakikishia jenista mhagama anapita kwa kura nyingi tena saa4 asbh....mnatengeneza picha halafu mnasema watu wamechoka...acheni hzoooo........mtaisoma namba

Naona mnalipenda Sana hili neno la kusoma namba..... Hivi maana yake ndio nini???
 
Back
Top Bottom