Upumzike pema peponi (Maria)

Upumzike pema peponi (Maria)

Picha uloweka kwenye profile yako imenikifu hadi nimeshindwa kusoma hadthi yako.
 
Picha uloweka kwenye profile yako imenikifu hadi nimeshindwa kusoma hadthi yako.

Kimfaacho mtu chake Aiseee.......
Hiyo ndio pic yangu ya ukweli mkuu
 

Attachments

  • 1444440409074.jpg
    1444440409074.jpg
    15 KB · Views: 363
mapenzi bhana, jamaa katiririka mbaya!

-tutakukumbuka daima
 
bado kuna maswali najiuliza kutokana na mkasa huu au hadithi hii
1:Maria alimpenda sana huyu kijana na hata kutamka kua NDIYE MWANAUME WA MAISHA YAKE je wangeishije milele ikiwa anajijua ni HIV carrier?
2:Kwa nini Maria aliumia sana aliposikia kua jamaa kamgegeda Fatuma ili hali yeye hakua tayari kumtuliza kipenz chake?

Mwandishi na wengineo mngenisaidia haya maswali nadhani mkasa huu utaleta uhalisia zaidi kuliko kubaki kua mkasa wa kufikirika
 
huyo maria naye miyeyusho tu! si angemwambia jamaa atumie condom kuliko kumchoresha mtaa mzima

Nashangaa!! 😳😳. Au kama vipi angeshika mike mpaka jamaa atuliZe mzuka then amueleze matatiZo yake
 
Back
Top Bottom