Mimi nafikiri watu muhimu sana waliofanya Kazi kubwa na Kusababisha JPM kuwa Rais no hawa wafuatao: Mzee Benjamin Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete, Philip Mangula, Kanali Kinana, Nape Moses Nnauye, Mwigulu Nchemba, January Makamba, Khamis Kigwangwala, Humphrey Polepole, Joseph Msukuma na Abdalla Bulembo