naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 669
Hili limejitokeza leo kwenye mkutano wa TRA na tasisi za serikali ambapo rais alidokeza kuwa kwa sasa TRA wanakusanya 1.3T kwa mwezi, nimeona nilete kwenye wataalamu wachambuzi, ili tuweze kupima na kuangalia kama mazingira ya sasa ya biashara yanaendana na makusanyo ya 1.3T.
Nawasilisha
Nawasilisha