Mhe.Freeman Mbowe akiongoza kikao cha Baraza la Uongozi la Kanda ya Ziwa Victoria kilichofanyika Leo tarehe 20.10.2018 Jijini Mwanza

Habari ya mjini ni kupatikana kwa MO
ukiona vinaelea ujue vineundwa! Ungeonekana wa busara hata ukesema tu naike, kwa sababu jiwe haliwezi kuzogea lenyewe mpk kuwe na external force.
 
Huo ndio mfano w kiongozi wa Ukweli. Nenda Israel utaelewa, Netanyahu kesha kuwa Waziri mkuu, akarudi kuwa waziri wa kawaida na nyazifa zingine kisha karudi kuwa waziri Mkuu.
Kubuka marehemu mzee Kawawa Kesha kuwa Waziri mkuu mwenye mamlaka ya kuongoza nchi kabisa 1962, akawa Waziri mkuu mtendaji tuu, waziri wa kawaida hadi kuwa waziri asiye na wizara maalum kisha makamu mwenyekiti wa chama tawala. Vyeo ni utumishi tuu. Usije shangaa siku moja Jiwe baada ya kutoka madarakani akawa Nyapala mkuu gereza la Ukonga.
Sumaye hajui uongozi tayari ameshadhibitisha hilo acheni utoto kama Bashite.
 
Naelewa vizuri sana na Waziri Mkuu mbovu kuliko wote.
Basi hata Rais aliyekubali awe WM miaka kumi naye atakuwa mbovu kuliko wote, Chama kilichokuwa madarakani kitakuwa cha hovyo what else!
 
Maskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
saa ya ukombozi ni sasa
sumaye kuna wakati muda utamtunuku
amesimama na sisi hata kama watesi wetu hawapendi
 
Back
Top Bottom