Recent content by kanyabuleza

  1. K

    "Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

    Ndugu yangu IK aka Marcopolo baada ya juhudi zako za kuwapotosha madaktari wenzako kushindwa sasa umeamua kutumia jukwaa la JF kuwaua madaktari wenzio kwa nini usimwambie Dr Chitange na Dr Namala face to face kwamba ni machekibobu?? kama mwanachama hai wa MAT?? acha izo bana umesahau...
  2. K

    Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

    Butola Mikutano sio lazima ukumbini teleconfrerence kwa free skype inawezekana FB, Twitter, Linkeldin, Egroups yote ni makutano ambayo kirungu cha FFU wala gari la maji ya upupu halifikiiiiii...Dunia imebadilika mkuuu
  3. K

    Waziri Mkuu awaamuru Madaktari kuripoti kazini Kesho!

    Gango hakuna mtu aliyehadaiwa, ila naona aidha huelewi ama kwa kuwa ushazoea uonevu kuishi katika lindi la umaskini na wachache kuishi kwa utajiili ndio maana unataka na madaktari wakubali hayo, ni watanzania walipoamua kusoma udaktari mliamua kwenda Long room kutafuta hela acha watafute maslahi...
  4. K

    JAHAZI la CLOUDS bila KIBONDE haliwezekani.

    Umelosa matusi ya Kibonde? ama nini hasa unachokishabikia pale???
  5. K

    Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

    VODACOM ndiye mdhamini mkuu na Mkuu wa masuala ya misaada ya Kijamii Mwamvita Makamba alikuwepo jukwaani, hawawezi kwepa lawama hizi they/you know this better...Being a main sponsor moja kwa moja unajivika FULL RESPONSIBILITY za kuwajibika na hiyo shughuli...
  6. K

    Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

    Kuonyesha picha za CCM hakuwezi KUJUSTIFY a sense of INHUMANE ambayo VODACOM wameonyesha kwa kuendelea na shindano la UREMBO kukiwa na MSIBA mkubwa nchini, inawezekana baadhi ya wazanzibar hawakubaliana na muungano, hayo ni maoni yao lakini legally Zanzibar is part of Tanzania. Yes Vodacom are...
  7. K

    CCM sio chama cha siasa, ni kampuni ya Familia za Kifalme

    Kwa nini upuuzi huu unaendelea kila siku?? same people come sun come rain?? why??? baada ya siku nne za kuiweka nchi katika tension ikiwemo kuhairisha bunge na mbwembwe kibao, mwisho wa siku familia zile zile zimepokezana madaraka Kigoda Meghji Makamba Kinana Kikwete Nnauye Daftari...
  8. K

    Cabinet reshufle coming tomorrow?!

    Acha ushabiki usio na maana alikataa milioni moja kwa uzalendo au kwa kuw Dowans walishamkatia?? Hivi Tanzania ni nchi ya Kifalme??? lazima awepo Kinana, Kigoda, Mwinyi, Makamba Families kila mahala??? maanake hakuna watanzania wengine wenye upeo UPUUZI MTUPU...........
  9. K

    GE2010 CONFIRMED: Mary Nagu ashinda Hanang

    Suspend lies for some few days to save us from their rubbish..........
  10. K

    GE2010 CONFIRMED: Mary Nagu ashinda Hanang

    Nadhani kuna watu wameamua kuharibu hii thread ya upatikanaji wa matokeo makusudi na huyu ni mmoja wao.......MODERATOR UNASEMAJE????
  11. K

    GE2010 Wasanii wa kizazi kipya wameitosa demokrasia nasi tuwatose

    Hawa vijana wamepata umaarufu kupitia vijana wenzao tukaacha muziki wa kimagharibi na kununua kazi zao za sanaa na kuhudhuria matamasha yao leo hii wanatuona sisi hatunazo na MIRAJI na BABA yake ndo wa maana................NATOA HOAJA TUWATOSE NA TUSAMBAZE KAZI ZAO BURE KWENYE MTANDAO...........
  12. K

    GE2010 Karagwe: Matokeo kutangazwa?

    Aahahah mimi niyabadili jina niwe Nsheshe...
  13. K

    GE2010 Karagwe: Matokeo kutangazwa?

    Matokeo vipi????lete habari tuanze ukombozi wa Karagwe.......
  14. K

    GE2010 Karagwe: Matokeo kutangazwa?

    Huyo Blandes ni Hopeless nitashukuru sana kama wanaKaragwe wenzangu watamgoa tupo wote katika hilo.......Mungu Ibariki Tanzania,...Mungu Ibariki Karagwe................
Back
Top Bottom