kanyabuleza
Member
- Apr 27, 2008
- 18
- 8
Kwa nini upuuzi huu unaendelea kila siku?? same people come sun come rain?? why??? baada ya siku nne za kuiweka nchi katika tension ikiwemo kuhairisha bunge na mbwembwe kibao, mwisho wa siku familia zile zile zimepokezana madaraka
Kigoda
Meghji
Makamba
Kinana
Kikwete
Nnauye
Daftari
HUWEZI KUSEMA CCM IMEJISAFISHA ila SANASANA, wamekosa maji/toilet tissue na kujipaka uchafu....BULLSHIT
Kigoda
Meghji
Makamba
Kinana
Kikwete
Nnauye
Daftari
HUWEZI KUSEMA CCM IMEJISAFISHA ila SANASANA, wamekosa maji/toilet tissue na kujipaka uchafu....BULLSHIT