Recent content by kanunguyeye

  1. kanunguyeye

    Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni?

    Dr shika ni msomi wa kada ya juu sana.
  2. kanunguyeye

    Kijana usitegemee hawa watu watakubadilisha

    Imepenya hiyo ndg,,, maneno kuntu ukweli unaishi
  3. kanunguyeye

    Waziri Kairuki awasimamisha kazi watumishi zaidi ya 10

    Dereva ashapoteza mwelekeo,,, kila atakayekatiza mbele yake analo... Mungu tujalie ujasili watanzania wa kuona na kutambua nia ovu ya dereva wetu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kanunguyeye

    Onyo kwa mawakili wote wanaopanga kuandamana kesho kwa ajili ya Lissu

    Ivi hawa vijana wa lumumba huwa wanafikili kweli?????. Mumeibuka na swala la mikopo kwa wanafunzi bila haya, saiz munadai vipimo kwa mkemia. Hii nchi ni yetu SOTE na katiba na sheria ndo mwongozo wetu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kanunguyeye

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Swala la ndoa ni kuendena mitazamo wala usomi hauna nafasi, kinacho sumbua ni mfumo DUME, endapo kama dada zetu wakitambua vyema majukum ya mke wasomi wenzao hawataogopa kuwaoa na cc wanaume pia tunapaswa kubadili mitazamo wetu juu ya usomi. Xo wanandoa waweke usomi pemben na vibaki mume na mke...
  6. kanunguyeye

    Wote wanaoponda Uteuzi wa Muhongo, Mwakyembe na Nape, wapo nyuma ya Lowassa na Mengi

    Muda ndo hakimu mwenye haki hapa Duniani japo huchelewesha hukumu,
  7. kanunguyeye

    RC Makonda na Mrisho Gambo wajifunze kwa RC Shamshama na Dr Kleruu, uongozi wa visasi haulipi

    Tunakoelekea uvumilivu tutaweka kando kwa haya wanayoyatenda wenye sifa za kusoma na kuandika
  8. kanunguyeye

    Bashe: CCM acheni unafiki, mimi nimeshakamatwa na watu wa usalama. Nipo tayari mniondoe kwenye chama

    Wabunge wa kariba ya akina bashe kwenye chama tawala huwa hawadum, nadhan tunamkumbuka Filiku Njombe. Ufezuri na uzandiki umejaa mioyoni mwao. Kuna maswala huwa yanapaswa kujadiliwa na kupewa uzito wa kitaifa lakini utakuta mbunge anasema kwa ilani ya......., lakn nawakumbusha hata wanajanvi...
  9. kanunguyeye

    Roma Mkatoliki na Waziri Mwakyembe waongea na waandishi wa habari

    Hii nchi maigizo yamepewa nafasi kubwa sana kiutendaji, bashite ndo mwongozaji wa haya yote
  10. kanunguyeye

    Laurence Masha ajitoa kugombea Urais TLS, amuunga mkono Tundu Lissu

    Haya yote tutayapata kikubwa muda ndo Rafiki wa kweli, ngosha atatuyumbisha lakn mwisho ni aibu tu kwake. We angalia maamuzi yanayoendelea serikalin yaan hakuna ushilikiano kila mmoja anafanya yake tu.
  11. kanunguyeye

    Walimu wote nchini watakiwa kuchangia pesa ya mbio za mwenge wa Uhuru nchini 2017

    Acha wakamuliwe mpaka watakapo jitambua kuwa wao ndo nguzo mhimu ya mabadiliko katika jamii. Cku zote walim wa Tanzania hawajitambui vzr
  12. kanunguyeye

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Wewe acha kuwafananisha hao watu na konda huyuuuu
  13. kanunguyeye

    Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa bungeni Dodoma

    Kwa kweli saizi mkubwa ameamua kuua democrasia kabisaaa
  14. kanunguyeye

    Ndiyo kusema Ajira za serikali hamna tena?

    Hapa cha kufanya ni kujishughulisha na kaz zingine tuu maana huyu dereva ashapoteza dira.
Back
Top Bottom