Kijana usitegemee hawa watu watakubadilisha

Punguza negativity of your mind mkuu,...fursa kibao kuhusu kilimo,ufugaji,biashara n.k znatangazwa na clouds(tuwe na shukrani)
Cjajua ulilenga kutoa motivation kwa vijana au kupondea hao clouds,kina shigongo,mentors nk
Lakini ujumbe wangeupata bila ata kupondea pia,...be positive bro
 
Tatizo watanzania wengi tunapenda maisha mazuri wakati hatutaki kuyatafuta...

ukiambiwa ukalime unadhani umetukanwa..ukiambiwa tafuta kazi ya kufanya unazuga bishoo...

mwisho wa siku maendeleo utayaskia kwa wenzako tu.
 
Mwaka wa nne huu upo Dar es Salaam (Mjini)
Huna ajira nyingine zaidi ya kuhudhuria semina za akina Erick Shigongo (Motivation Speakers)
'How to be a rich'
(Zimekupumbaza)
Huna hata Toyo ya kuchora. (Huna mafanikio)
Mentors wako wanazidi kufanikiwa
(Wewe unafilisika kila siku)
My brother, my sister
•Wadogo zako uliowaacha kule kijijini kwenu
•Hawamjui Ruge wala Erick
•Hawajui Motivation wala inspiration Quotes
•Wana miliki familia
•Wanaishi kwenye nyumba zao
•Wanakula vizuri hawashindii kipande cha muhindi wa mia(100) kama wewe.
kwasababu akili yako haijiwezi.
Unasubiri Ruge akuambie rudi kijijni (halafu nani asikilize Clauds)
au Shigongo akwambie kalime matikiti au bamia (muda wa kusoma gazeti la IJUMAAA utapata wapi.)
Hakuna wa kukubadilisha zaidi ya wewe mwenyewe
Juhudi na ufanisi katika kazi
Ndio mafanikio yako.
Take . U nailed mkuu
 
Punguza negativity of your mind mkuu,...fursa kibao kuhusu kilimo,ufugaji,biashara n.k znatangazwa na clouds(tuwe na shukrani)
Cjajua ulilenga kutoa motivation kwa vijana au kupondea hao clouds,kina shigongo,mentors nk
Lakini ujumbe wangeupata bila ata kupondea pia,...be positive bro
He is being realistic.
Watu wengine hawawezi kuamua wala kufanya anything significant in life kwasababu ya too much running from reality,procrastinating and thinking positivity is all needed to face life.
Too much positivity to an extent mtu anaogopa akifanya hata hio biashara ya matikiti itakuaje akipata hasara.

So ataamua bora ampe mtu mwingine Pesa,amfanyie yote yeye apate faida.Hawa ndo wale wanaishiwa kutapeliwa na makampuni ya uongo ya bitcoins etc. Au bora atoke buku biko etc. All because it provides a sense of security.

Mtu mpaka sixties bado anahangaika na motivational books and audios.Bado anahangaika makanisani.
Sibezi maisha ya wengine,la hasha.
Ni ukweli Mtupu.Basi tu humans we were created,so that at different times to realize and act on the truth when we finally decide its what really suiting us.
And not of us are capable of facing the truth.

I've read quite a lot motivational books and audios.
Wanachoongelea kwanza Ni kukwambia reality yako ya maisha kwanza,kwamba hauamki mapema,we mvivu n.k
Hapa utajisikia vibaya na kutamani Sana suluhisho.
Then, watakupa several motivational ideas kwamba ujiamini,Fanya biashara kuliko kutegemea kuajiriwa n.k
Vitu vilevile.
Vitu vilevile tunavyojua.
Anyway.
I finally chose to face my real life.
For better,for worse,for richer,for poorer.My first real commitment, was with myself.
Lazima tukubali kuwa katika maisha Lazima kuna hard times na ifike point tuelewe hatuhitaji watu watakaotueleza maisha yetu magumu na kutupa map ya maisha,cause there is none.
I don't know.We are different.
Na tunaishi kwa sababu ya udhaifu,ujinga au uwezo wa wengine.
So,whatever.
We will just do as normal.Struggle to survive.
 
He is being realistic.
Watu wengine hawawezi kuamua wala kufanya anything significant in life kwasababu ya too much running from reality,procrastinating and thinking positivity is all needed to face life.
Too much positivity to an extent mtu anaogopa akifanya hata hio biashara ya matikiti itakuaje akipata hasara.

So ataamua bora ampe mtu mwingine Pesa,amfanyie yote yeye apate faida.Hawa ndo wale wanaishiwa kutapeliwa na makampuni ya uongo ya bitcoins etc. Au bora atoke buku biko etc. All because it provides a sense of security.

Mtu mpaka sixties bado anahangaika na motivational books and audios.Bado anahangaika makanisani.
Sibezi maisha ya wengine,la hasha.
Ni ukweli Mtupu.Basi tu humans we were created,so that at different times to realize and act on the truth when we finally decide its what really suiting us.
And not of us are capable of facing the truth.

I've read quite a lot motivational books and audios.
Wanachoongelea kwanza Ni kukwambia reality yako ya maisha kwanza,kwamba hauamki mapema,we mvivu n.k
Hapa utajisikia vibaya na kutamani Sana suluhisho.
Then, watakupa several motivational ideas kwamba ujiamini,Fanya biashara kuliko kutegemea kuajiriwa n.k
Vitu vilevile.
Vitu vilevile tunavyojua.
Anyway.
I finally chose to face my real life.
For better,for worse,for richer,for poorer.My first real commitment, was with myself.
Lazima tukubali kuwa katika maisha Lazima kuna hard times na ifike point tuelewe hatuhitaji watu watakaotueleza maisha yetu magumu na kutupa map ya maisha,cause there is none.
I don't know.We are different.
Na tunaishi kwa sababu ya udhaifu,ujinga au uwezo wa wengine.
So,whatever.
We will just do as normal.Struggle to survive.
Nikipata mwanamke kama wewe kesho napeleka posa
 
Stop being motivated and start doing actual things. Amua kufocus na kujaribu angalau kimoja kuliko kuishia kumaliza pesa kwenye kuwa motivated and then what? Hizo seminar zipo very superficial hazi address issues ni kuongelea juu juu tu. Mentoring ni kitu muhimu zaidi ambacho mtu unapaswa kutafuta kutokana na area of your pursuit.
 
Stop being motivated and start doing actual things. Amua kufocus na kujaribu angalau kimoja kuliko kuishia kumaliza pesa kwenye kuwa motivated and then what? Hizo seminar zipo very superficial hazi address issues ni kuongelea juu juu tu. Mentoring ni kitu muhimu zaidi ambacho mtu unapaswa kutafuta kutokana na area of your pursuit.
well spoken
 
Mwaka wa nne huu upo Dar es Salaam (Mjini)
Huna ajira nyingine zaidi ya kuhudhuria semina za akina Erick Shigongo (Motivation Speakers)
'How to be a rich'
(Zimekupumbaza)
Huna hata Toyo ya kuchora. (Huna mafanikio)
Mentors wako wanazidi kufanikiwa
(Wewe unafilisika kila siku)
My brother, my sister
•Wadogo zako uliowaacha kule kijijini kwenu
•Hawamjui Ruge wala Erick
•Hawajui Motivation wala inspiration Quotes
•Wana miliki familia
•Wanaishi kwenye nyumba zao
•Wanakula vizuri hawashindii kipande cha muhindi wa mia(100) kama wewe.
kwasababu akili yako haijiwezi.
Unasubiri Ruge akuambie rudi kijijni (halafu nani asikilize Clauds)
au Shigongo akwambie kalime matikiti au bamia (muda wa kusoma gazeti la IJUMAAA utapata wapi.)
Hakuna wa kukubadilisha zaidi ya wewe mwenyewe
Juhudi na ufanisi katika kazi
Ndio mafanikio yako.
Kwanini siku hizi hauhudhurii vikao vya vidonge tiba? Haya maumivu mnaniachia mwenyewe niyatulize mpaka lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom