Recent content by kanumbu

  1. K

    Prof. Kitila Mkumbo aombwa kugombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo

    Hawezi kugombea huyo, anawajua CDM walivyo na nguvu ya umma.
  2. K

    Madiwani watatu Meru wajiunga CHADEMA

    Chadema nao hadi huku, Duuu! balaaa, wataisoma kama wimbo wao wa Miccm!
  3. K

    Magamba yanaruka na kukanyagana

    Neno GAMBA ni zuri sana kwa ccm linawafàa.
  4. K

    Edward Lowassa ana nyota ya kupendwa, ni hatari

    Magamba wameacha kabisa mambo yao, sasa gumzo ni ukawa haijawahi kutokea kwa magamba japo mimi sina chama.
  5. K

    CCM kukurupuka kwenu kutawagharimu zaidi

    Sio kwamba wanakurupuka bali kila mmoja anataka awe RAIS kupitia "kitengo"
  6. K

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Napinga mtu yoyote awaye kumwita binadamu mwenzako shetani mkuu. Tupende kuacha akiba ya maneno kwakuwa unatakiwa kumwamini Mungu pekee!
  7. K

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Je watanzania waliokufa kwa sababu ya ajali, au kukosa dawa hospitalini na wale wanaokosa mikopo elimu ya juu. Vipi hao watu!
  8. K

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Napinga kumwita na kumwona Edward lowasa kama ni shetani na fisadi mkuu. Kumwita mwandamu mwenzio shetani mkuu haifai kabisa, hasa pale inaposadikiwa tu paspo ushaidi.
  9. K

    Magufuli kupiga mbizi Kigamboni kuomba kura mwaka huu

    Umenikumbusha mbali mkuu! Kauli hiyo ilinikera sana moyoni, kwani hakuna maneno mengine ya kutumia au Kiswahili kina upungufu wa msamiati?
  10. K

    Walimu walioanza kazi mwaka 2011 Januari, kupanda madaraja lini?

    Haya sasa watumishi wakidai stahiki zao za kupandishwa madaraja, wenye mamlaka huwa kama hawaoni vile na hujinadi kuwa eti wao wanafanya kazi kwa weledi wa hali ya juu.
Back
Top Bottom