Tabora na kagera ni kaskazn heee????mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!
Tafadhali taarifa na picha mkuu.......
Mwaka huu namuonea huruma yule mzee JD amewekeza sana kwenye ubunge wa Meru haya sasa dogo Janja ameshamtangulia mbele wote hawa waliokuja CHADEMA wanatoka kata zenye watu wengi sijui atatoka vip. Hongera Comred Nassari
Wale waKahama na Simiyu nao ni wa Kaskazini!? Hizo karata zenu za ukanda, ukabila na udini mwaka huu hazina tena nafasi.mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!
mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!
Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA
Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei.
Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA
hureeee!!, bado mkuu wa mkoa......madiwani wote wa ccm toka halmashauri ya meru mkoani arusha wote wamehamia chadema
mbuyu unapondeka kwakakasi sana ccm kwishenei kwishenei.
Muda huu madiwani hao wamehamia chadema
Mwenyekiti wa chama yuko bize kucheza miziki na wasanii wenzie