MKUU KWELI UMENENA MAANA NAONA TUNAJIFARIJI KAMA MFUGAJI ANAYEAMINI IPO SIKU NG'OMBE WAKE ANAWEZA AKAKAMULIWA MPAKA AKAJAZA PIPA LA MAZIWA WAKATI UWEZO HATA WA KUJAZA NDOO MOJA TU WALA HANA. SO TUJIONGEZE NA HIZI MIND SET ZETU
FUATILIA KWA MAKIN POST, USITOKWE NA POVU BILA SABAB MIMI SIYO NILIYESEMA USAILI UNARUDIWA KWASABABU SINA USHAHID HUO NA NANI KAKWAMBIA NIMEKOSA NAFASI!!!
JAMAN EBU TUJIONGEZE KWA KUZINGATIA HAYA; AJIRA MPYA BADO HAZIJATOKA NA NI MWAKA SASA UNAELEKEA KUKATA, WANAFUNZI WA VYUO NAO MIKOPO NDO HIYO INAZINGUA, WALIMU WANADAI MADAI YAO, DAWA NAZO MAHOSPITALIN ZINAZINGUA N.K, SO THE PROBLEM IS MONEY.
Wengi wa wabongo tunakurupuka tumesahau hata kwamba si kila mwenye jina la ukoo (SURNAME) linalofanana na kigogo serikalin au mtu yeyote basi wanafahamiana, swali la kujiuliza ni je jina Ndalichako limehalarishwa kutumiwa na Mh. waziri tuu katika ukoo????? na kama sio kwanini wabongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.