Recent content by kanisambaze

  1. kanisambaze

    Village school bus

    Aaaaahhh mshana mi sikuwezi
  2. kanisambaze

    Wema ammwaga Diamond, safari hii ndo basi Tena

    Nakweli alijisemea diamond
  3. kanisambaze

    Nimetupia choon leo iphone 5s baada ya kaka mkubwa wa apple kujitangaza kua ni gay

    Mmmhh shost hata mimi namshangaa inahuuu aaaahhhh akajiongeze ndo aje atudanganye eti katupa cm chooni ni mtz ama!!
  4. kanisambaze

    Wema ammwaga Diamond, safari hii ndo basi Tena

    Mambo ya power of destiny aaaahhh yaani hawa kama waphilipian maana tamthili za hawa watu wawili zinanoga kweli
  5. kanisambaze

    Mgao mzito wa umeme Mwanza

    Sio mwanza tu hata huku tunduma yaani umeme unakatika huelewi unakuja saa ngapi pia ukiwepo uelewi utakatika saa ngapi kwakweli kama ni mgao waseme basi watu tujiandae
  6. kanisambaze

    Kwa nini tuwaombee waliokufa?

    Mtu akishakufa amekufa na aendi popote wala hafanyi lolote wala hawazi chochote ni kama mshumaa ukiisha umeisha so hakuna sababu yakuabudu au kuwaombea marehemu wao wameshamaliza kazi zao hapa duniani kilicho naki ni sisi kumuomba mungu na kujitengenezea njia nzuri kwa Yehova
  7. kanisambaze

    Kwa nini tuwaombee waliokufa?

    Mmmhh hivi unajua unachojibu
  8. kanisambaze

    Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

    Wale wadau jamani wa bba hotshot tunaomba mtujuze yalio ajiri huku mtaani kwetu hakuna umeme simnaelewa tena LAVEDA yumo kwenye kikaango
  9. kanisambaze

    Ni sehemu ngani katika mwili wa mwanamke ambayo inavutia sana machoni?

    Aaaaaaaahhhh we ndo umefunika mjadala mzima mmhhhh eti kivuli chake aaaaahhh amakweli watu wamepinda
  10. kanisambaze

    Mama mwenye nyumba ananitega sana

    Sasaaa kama anakutegaaaaa si utegueee
  11. kanisambaze

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    Aaaaaaaaaahhhh uwiiiiiiiiii niko kwa bed nimepitwa
Back
Top Bottom