Alikuwa anamwaga kinyesi cha ngombe kwenye ukuta,ukimwambia anasema kwamba hicho kinyesi ukutani kwangu kinasogea chenyewe ila yeye huwa anamwaga kwenye shamba lake.
Nilichukua vijana wawili na mimi tukawa mtu tatu nikakikusanya chote nikaenda kumwekea mlangoni kwake kabisa,aliponiuliza...
Pole sana,bila shaka atakuwa mmeru au mchaga huyo. Yupo hapa jirani yangu alikuwa hivyo lakini kaishia kwenye mikono ya mhehe mimi mpaka huwa anatamani kunisalimia shkamo wakati kanizid miaka 32
Wigi? Hivi bado kuna wtu wanavutiwa na mawigi nowadays?
Do you know kitu inaitwa natural color? Yaani mtu kama ni mweusi anakuwa mweusi kutoka unyayo wa mguu pitia sehemu za public mpaka kichani anakuwa mweusi na vivyo hivyo akiwa mweupe.
Do you know kitu inaitwa natural hair? Yaani nywele...
Yaani wewe unachanganyikiwa na hawa ambao matiti yao yamedondoka?
Je,sisi tunaofundisha form three mpaka six tufanyaje?
Yaani form three to six mtoto ziwa saa sita kasoro afu na zile sketi na alegeze vifungo viwili vya shati kwa juu,aisee huwa nachanganyikiwa.
Poleni sana. Nadhani kwenye kipengere cha mkataba waongeze sehemu ya kuondoa hyo GPRS ikiwa mtu atakaribia kumaliza mkataba na zimebakia asilimia hata kumi au akishamaliza asilimia zote basi hyo gprs iondolewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.