toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi Tanzania tuna mifumo ya ulinzi ya Makombora?
Israel kwa mfano wana yao roketi au kombola rikilushwa tu inadaka
Nimewaza ndo ukute kuna kikundi kinatishia taifa au watu kama Hamas au waasi furani wapo mahali kama nje ya mji ukute wapo hapo waamue kurusha maroketi au makombora kwa maelfu kuja Dar jee tutabaki sarama?
Jee yatatunguriwa au ndo tutakwisha?
Hamass wanalusha maloket mengi yangetua dar yale si madhara yangekua makubwa ivi?
Israel kwa mfano wana yao roketi au kombola rikilushwa tu inadaka
Nimewaza ndo ukute kuna kikundi kinatishia taifa au watu kama Hamas au waasi furani wapo mahali kama nje ya mji ukute wapo hapo waamue kurusha maroketi au makombora kwa maelfu kuja Dar jee tutabaki sarama?
Jee yatatunguriwa au ndo tutakwisha?
Hamass wanalusha maloket mengi yangetua dar yale si madhara yangekua makubwa ivi?