Habari wakuu! Pooleni na majukumu ya kazi, bila kupoteza muda ningependa kuandika ujumbe wangu moja kwa moja.
Ninapitia changamoto kubwa ya kipato kwa sasa, huku nikiwa na familia inayonitegemea ya mke na mtoto mmoja. Najua maisha ni kupambana, na ndiyo maana najitokeza kwa unyenyekevu kuomba...
Habari wakuu.
Husika na mada hapo juu, mimi ni mfanyabiashara napatikana kanda ya kaskazini, najishughurisha na biashara ya duka la nguo za kisasa mchanganyiko za kiume na kike.
Nahitaji msaada kwa mtu yeyote tuingie share tufanye biashara pamoja kwa yeye kuweka mtaji au mfanyabiashara ambaye...
Used from dubai imekuwa ni msemo kuvutia biashara, na kwasababu watu tunaamini kitu kilichotumika kutoka nje kinakuwa bora kama vile tunavonunua used magari kutoka japani kwasababu wenzetu hatumii bitu kwa mda mrefu.
Hizi simu used zinauzwa kwetu zinzkuwa zimetumika mahali popote pale hata hapa...
Simba ndiye mnyama mwenye nguvu kuliko wote katika uso wa dunia, na anajulikana kwa jina la mfalme wa porini, na kumuona katika ndoto ni moja ya maono ya mara kwa mara kwa watu wengi, kwani ni moja ya maono ambayo humtesa mmiliki wake kwa hofu na hofu, tafsiri ya ndoto hiyo inatofautiana...
Wafrika hatukuwa na historiabyeyote ya maana..
Tulikuwa hatujengi, hatuna technology yeyotebya maana kwa mtu mwenye akili timamu kuadopt.
Jamii znyingi za kiafrika tulikuwa tunaishi kama unavyoona baadhi ya makabila ambayo hata sisi yunaona hawajastalabika kama wamasai wale wa ndani ndani...
Nikishakuelewa swali lako, lakini kwetu kuchepuka ni kawaida tu. Na mifano mingi uliyopewa humu imeonyesha kutokujutia kwetu kuchepuka, liakini hilo huwa halituondolei upendo na heshima kwa familia zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.